Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Nilipokea kwa masikitiko sana kifo cha kipenz cha wengi Dr Remmy Ongala. Kuna ki2 bado sijakijua vzr kuhusu wasifu wake hv! alikuwa na u Dr wa nn? au lilikuwa jana 2? Mwenye kujua vzr wasifu wake anijuze tafadhali