sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,368
Au sijasikia na kuona uzuri mie?
Naangalia TBC1 hapa naona Mke wa hayati Dkt. Omari Ally Juma anatoa historia,
Tofauti na huku bara hata kama baba alizaa linyangurusi linabebwa hivyo hivyo ilimradi jina la babake lisipotee. Ndio kwanza leo namuona mke wake na watoto wake leo.
Naangalia TBC1 hapa naona Mke wa hayati Dkt. Omari Ally Juma anatoa historia,
- Moja aliyoyasema eti alimchumbia akiwa ndogo sana na kufunga naye ndoa akiwa kidato cha kwanza.
- La pili anasema alikuwa ni ndugu yake, mume ndugu.
- La tatu, Dkt. Omari Ally Juma hakuwahi kuwa mwanasiasa na hakuwahi gombea cheo chochote kwenye maisha yake.
Tofauti na huku bara hata kama baba alizaa linyangurusi linabebwa hivyo hivyo ilimradi jina la babake lisipotee. Ndio kwanza leo namuona mke wake na watoto wake leo.