white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,278
Machinga ni sawa walikuwepo lakini sio kama hawa waliopo toka 2015!!huu sasa ni uchafu, machinga gani anajenga banda la zaidi ya milioni tatu juu ya mtalo?city center, (posta)mama anachoma mihogo /chipsi kwa kutumia jiko la pumba?moshi timu timu!!ni mala ngapi wanapangiwa maeneo hawataki wao wanataka sehemu wanazotaka wao na sio serikali inapotaka!!enzi za jk kariakoo ilikuwa ipo kaka sasa,?mgambo aliogopwa kuliko hata jwtz na wamachinga.Wewe ni poyoyo tu
Wamachinga hata Mzee Mwinyi aliwaacha, Mkapa na Yusuph Makamba akiwa mkuu wa mkoa alishindwa, huyo cha kuzurura ndiyo kabisa hakufanya lolote!
Soko la machimba limejengwa na City council kwa mkopo toka NSSF
Wakati wa JPM machinga wamepata heshima, na aliwaambia wakuu wa Wilaya kabla ya kuwaondoa barabarani tafuta maeneo kwanza ya kuwaweka