Hayati Dkt. Magufuli aliletwa duniani mahsusi na Mungu ili kuleta masomo fulani tujifunze

1. Mzalendo wa kalne
2. Mtu pekee aliyeyagusa moja kwa moja maisha ya masikini
3. Ndie rais pekee aliyefuata misingi yake na si mfumo mbovu wa serikali
4. Ni rais pekee aliye mtegemea MUNGU na si wazungu wala matajiri
5. Kwa hakika alikuwa kiongozi haswa na si mtawala

MUNGU alimtuma kuionesha jamii ya kitanzania namna harisi ya uongozi

Binadamu tunajisahaulisha tu Kama Yesu alikuwa mwana wa MUNGU mpaka leo watu hawamkubali sembuse magufuli
Ametuonyesha pia watanzania hata uwe mwema na mpenda nchi yako kiasi gani bado watu watakusema vibaya na kukusingizia uovu pasipo vithibitisho.
 
1. Mzalendo wa karne
2. Mtu pekee aliyeyagusa moja kwa moja maisha ya masikini
3. Ndie rais pekee aliyefuata misingi yake na si mfumo mbovu wa serikali
4. Ni rais pekee aliye mtegemea MUNGU na si wazungu wala matajiri
5. Kwa hakika alikuwa kiongozi haswa na si mtawala

MUNGU alimtuma kuionesha jamii ya kitanzania namna harisi ya uongozi

Binadamu tunajisahaulisha tu Kama Yesu alikuwa mwana wa MUNGU mpaka leo watu hawamkubali sembuse magufuli
Nilipoona neno "Karne" umeliandika "Kalne" nikapatwa mashaka sana na ulichoandika
 
Mjomba yako alikuwa mtumishi hewa wewe mwenyewe ulikuwa na vyeti feki lazma uponde tu

Kumbuka duniani kote hapakuwawi kutokea kiongozi ambaye alipendwa na jamii yake yote bila kupingwa

Tofauti ipo kwenye alama zinazoachwa na uongozi wao hapa duniani matendo makuu kwa watu wa chini

Kuwa heshimisha masikini na wanyonge wasio na haki na haswa wale tuliopo vijijini

Ndugu zangu utampima vp kiongozi bora kama si kwa alama alizoacha alama ambazo zilishindikana kwa miaka mingi huku tukipewa polojo ni vi story vya kitoto

Niamini mimi alipotoka mwl JK aliye fuata ni Dkt John na baada ya hapo tunayo safari ndeeeefu labda Mungu pekee aamue hii kesi
 
Rejea sababu zilizopelekea kudai na kupigania Uhuru wa Tanganyika zilikuwa ni zipi?

Maendeleo ya vitu hata Mkoloni angeweza kuleta zaidi ya tulipo!
 
Kuna watu walijilipa mamilioni ya pesa MH.waziri mkuu mpaka akasikitika hivi wamechukuliwa hatua gani? au mchakato wa KESI unaendelea? Enzi zake angemalizana nao Siku Ile Ile na ingekuwa fundisho
 
1. Mzalendo wa karne
2. Mtu pekee aliyeyagusa moja kwa moja maisha ya masikini
3. Ndie rais pekee aliyefuata misingi yake na si mfumo mbovu wa serikali
4. Ni rais pekee aliye mtegemea MUNGU na si wazungu wala matajiri
5. Kwa hakika alikuwa kiongozi haswa na si mtawala

MUNGU alimtuma kuionesha jamii ya kitanzania namna harisi ya uongozi

Binadamu tunajisahaulisha tu kama Yesu alikuwa mwana wa MUNGU mpaka leo watu hawamkubali sembuse Magufuli
No moja hpn kbs, mzalendo wa kweli kweny taifa hili tena asie na makando kando ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pekeee!
 
Ongezea na

1. Miradi ya tija kwenye jamii, zamani ilikuwa ni ndoto kuona lami uswahilini lkn wkt wa JPM tumeona.

2. Umeme, zamani tuliamini umeme hauwezi kuwa wa uhakika nchini kwetu kwani ni maskini nchi hii so tukawa tunaona umeme kukatika katika ni haki yake lkn baada ya JPM kuchukua madaraka umeme kukatika ikawa historia.

3. Miradi mikubwa ya historia, zamani viongozi wetu walishindwa kufanya miradi mikubwa wakisema kuwa nchi yetu ni maskini haiwezi kufanya miradi inayofanyika nchi zilizoendelea lkn wkt wa JPM tuliona ikifanyika mfano electrical SGR, ujenzi wa moja kati ya mabwawa makubwa kabisa ya umeme Africa na duniani JNHPP, flyovers na interchanges, Airports, Ports, ununuzi wa ndege kubwa, ujenzi wa meli kubwa kubwa, masoko n.k kiasi cha kwamba leo hii imeshakuwa fashion kwamba ili ukubalike na jamii lazima ufanye kama alivyokuwa anafanya JPM.

4. Thamani ya mwananchi, zamani mwananchi hasa wa hali duni alikuwa hathaminiki kabisa lkn baada ya JPM vyombo vya dola, wabunge na watumishi serikalini wakaijua thamani halisi ya mtanzania bila kujali ni tajiri au maskini.

5. Heshima ya Tanzania na Watanzania, zamani nchi yetu ilidharaulika sn hasa na nchi jirani, lkn miaka michache baada ya JPM nchi ikapanda thamani na kuwa mfano hapa Afrika kwa utekelezaji wa uchumi jumuishi (inclusive economy)

6. Shamba la bibi, zamani kabla ya JPM nchi yetu ilikuwa shamba la bibi lkn baada ya JPM kila mtu anajua kilichotokea.

7. Msimamo, JPM alikuwa kielelezo cha msimamo wa waafrika mbele ya wazungu kwamba tuna haki ya kupanga mambo yetu pasipo kuingiliwa na mtu yeyote.

Kuna mengi ya kumuelezea Magufuli ambapo kama nitaamua kuyaweka humu itakuwa ni kitabu, hivyo basi itoshe tu kusema kwamba JPM alikuwa moja kati ya viongozi bora zaidi kuwahi kutokea katika nchi hii japo kama mwanadamu hakukosa kasoro lkn kiukweli kabisa kasoro zake haziwezi kuficha mema mengi aliyoifanyia nchi hii.
Kweli kabisa kaka.

Sema wanao mnanga wale chawa wa vyeti feki, Chawa wa ma boss walio kwepa kulipa kodi na panga lika waathiri hadi hao chawa.
 
Mtoa mada nakushauri nenda kwenye forum mbalimbali ambako Magufuri ametajwa au kuanzishiwa mada and then angalia komenti au replies za watu ili zikupe somo.

Although inaonekena wewe ni mmoja wa waliokuwa wamebanwa kupitia ile mianya ya🐁 ya kura bila ruhusa!.
 
Somo la nane
UNAFIKI ni dhambi isiyompendeza Mwenyezi Mungu huwezi sema tumtangulize Mungu mbele alafu ukafanya dhuluma kwenye machaguo ya watu.
Yani ukimbie na masanduku ya kura alafu udownload matokeo yako then uje kusema tumtangulize Mungu mbele? katika dhuluma si ndio
Na Je, kama hayo masanduku walihusika mabeberu kuvuruga.

Ili wapinzani wasio na sera zinazo eleweka na wapenda madaraka je...? na hao tuwazungumzieje?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
JPM alikuwa fundi sanaa hasa katika uongozi wake. Kwanza aliweza kuweka mambo wazi nyanja zotee.

1. Kimaendeleo hasa linapo kuja swalia za ripoti mbali mbali mfano.Madini kwakweli kupitia Mzee JPM nliweza kujua karibia kila kitu kilicho kuwa kinaendelea katika madini.
Lihali sasa naona giza tu hata taarifa za habari kutoka Channel na redio mbali mbali kukosa mvuto.

2. Aliweza kututia moyo sanaa hasa kwenye swala la kunitegemea na kutuamisha kuwa sisi ni matajiri basi hata kama ni uwongo basi sisi tulijihisi tunaweza na kila mtu alipata mhamko wa kuchapa kazi.JPM best of the Best.

3. Aliweza kukipa hadhi kiti cha uraisi na kueshimika kwa Jinsi alivyo jiweka na mdomaana mnaweza sema alijifanya Mungu mtu lakini kwakweli uraisi ulitua mahala sahihi.

4. Wale matajiri na wakwepa kodi mzee JPM alilala nao mbele mpaka wakakiona cha moto hadi wengine wamepotea kwenye ramani mpaka sasa wameshindwa kusimama tena.
5.Bila majungu nidham serikalini ilirudi kwa sehem kubwa tena sanaa.Si mahospitali nasehem zingine za kijamii.

6. Hakusafiri kwenda popote nje ya Bara la Africa na kulinda maslahi ya nchi yake kwa kuleta maendeleo kitu ambacho mabeberu walikonda sanaa.


Any way zipo zababu nyingi tuu nzuri na pia tunapaswa kujua Binadamu hatukosi kasoro katika maisha yetu ya kila siku.

ILA JPM MPAKA SASA KILA SEHEM HUKAI DAK KADHAA BILA KUTAMKWA JINA LAKE.

HAKIKA TUNA KAZI SANAA YA KUMSAHAU HASA KIZAZI HIKI CHA KWETU.
Mungu Kuna watu anawatumia hapaduniani Kama shule kwa umma wake ili uongoke au ujifunze Jambo fulani magufuli ni mmoja wao.

Somo la kwanza.
Ndugu pataneni mnapogombana maana mkishindwa mnampa nafasi adui kuneemeka na ugomvi wenu.Mtifuano wa kina lowasa ndani ya ccm ndio uliompa JPM kula kwamba wote tukose.

Somo la pili.
Usimtegemee binadamu mwenzako Bali mungu tu. Kuna watu walimtegemea JPM kuliko mungu wakasahau JPM ni mwanadamu tu Sasa katwaliwa kawaacha wanahanyahanya. Rejea polepole makonda bashiru msiba na sabaya nk.

Somo la tatu
Hakuna aijuae kesho yake Bali Mungu tu. Ccm walifikia mahali wakataka JPM atawale milele aongezewe muda atakeasitake. Mungu kumbe ndie aliejua ukomo wa siku zake. Rejea Sanga na mbunge wa kongwa aliekuwa mtangazaji wa radio.

Somo la nne.
Watu wasikulalamikie Sana kwa matendo yako vilio vyao vinasikika kwa muumba wao. Utawala wa JPM uliliza wengi kila Kona ya nchi na kila kundi liliguswa vilio vinasikika mbinguni.

Somo la tano.
Usijiamini kupita kiasi. JPM alikuwa na over confidence kitu ambacho kilimfanya ajisahau hivyo akajikuta anaharibu mambo mengi pengine kwa kutokujua.

Somo la sita.
Umuhimu wa katiba mpya. Sidhani Kama ccm wenyewe wangependa atokee mtu Aina ya magufuli Tena katika chama Chao. Hilo ni funzo na utawala wa magufuli umewafanya watu waone umuhimu wa katiba mpya na demokrasia.

Somo la Saba.
Tii Sheria na uifwate hata Kama itakubidi kuwajibika kwa kukataa maagizo mabovu ya wakubwa wako. Sabaya alipokuwa DC alifanya maufiri mengi na mpaka akaiambia mahakama kwamba alikuwa anatii maagizo toka juu Sasa Leo amebaki peke yake na maufiri yake aliyemtegemea kumlinda hayupo.

Ongezea masomo mengine uliyojifunza kwa hayati magufuli.
Jamaaa alikuwa mbinafsi sana na roho mbaya sana wenzio aliwafungia akaounti zao za mshahara mfano mbowe ila yy aliendelee kupokea mshahara kwa jasho letu watz
 
JPM alikuwa fundi sanaa hasa katika uongozi wake. Kwanza aliweza kuweka mambo wazi nyanja zotee.

1. Kimaendeleo hasa linapo kuja swalia za ripoti mbali mbali mfano.Madini kwakweli kupitia Mzee JPM nliweza kujua karibia kila kitu kilicho kuwa kinaendelea katika madini.
Lihali sasa naona giza tu hata taarifa za habari kutoka Channel na redio mbali mbali kukosa mvuto.

2. Aliweza kututia moyo sanaa hasa kwenye swala la kunitegemea na kutuamisha kuwa sisi ni matajiri basi hata kama ni uwongo basi sisi tulijihisi tunaweza na kila mtu alipata mhamko wa kuchapa kazi.JPM best of the Best.

3. Aliweza kukipa hadhi kiti cha uraisi na kueshimika kwa Jinsi alivyo jiweka na mdomaana mnaweza sema alijifanya Mungu mtu lakini kwakweli uraisi ulitua mahala sahihi.

4. Wale matajiri na wakwepa kodi mzee JPM alilala nao mbele mpaka wakakiona cha moto hadi wengine wamepotea kwenye ramani mpaka sasa wameshindwa kusimama tena.
5.Bila majungu nidham serikalini ilirudi kwa sehem kubwa tena sanaa.Si mahospitali nasehem zingine za kijamii.

6. Hakusafiri kwenda popote nje ya Bara la Africa na kulinda maslahi ya nchi yake kwa kuleta maendeleo kitu ambacho mabeberu walikonda sanaa.


Any way zipo zababu nyingi tuu nzuri na pia tunapaswa kujua Binadamu hatukosi kasoro katika maisha yetu ya kila siku.

ILA JPM MPAKA SASA KILA SEHEM HUKAI DAK KADHAA BILA KUTAMKWA JINA LAKE.

HAKIKA TUNA KAZI SANAA YA KUMSAHAU HASA KIZAZI HIKI CHA KWETU.
Mzee JPM angekumbukwa sana kwa utendaji wake na ufuatiliaji wa maelekezo anayotoa, lakini alikuwa na dosari kubwa sana ya HAKI ZA BINADAMU. Kwenye hili eneo alikuwa "Sufuri" kabisa. Ubaguzi wa vyama vingine kuwaona hawana maana isipokuwa chama chake tu, chaguzi zikawa zinatolewa matamko tu, namtaka fulani mniletee,BADALA ya sanduku la kura liamue nani awe nani.

Eneo hili la haki za binadamu kama JPM angekuwa analimudu vema ikichanganywa na utendaji wake wa kazi ilivyokuwa, basi JPM angekuwa bora sana, lakini kwa kuwa eneo hili alifeli kwa kiwango kikubwa sana, basi atabaki tu kuwa Rais wa hovyo kupindkia, na chama chake hakipaswi kabisa kuiga U-hovyo huo wa kupitisha wagombea kwa mabavu ya bila kupingwa, kuwaagiza Wakurugenzi wapitishe wa chama chake tu kwa kuwa anawalipa vizuri na mafuta ya magari anawapa, halafu wapitishe mwingine! U-hovyo wa aina hii umeacha balaa kubwa katika Taifa ambapo mshikamano wa Kitaifa umepotea.
 
Ongeza na hili!
1. Aliwafanya wahitimu wa vyuo kama mazezeta wanarandaranda mijini bila ajira na kuwadanganya ajira zipo kumbe anaaajiri waliokwisha ajiliwa eti ni ajira mpya. Refer kwa zile alira elfu 13 zq ualimu ambazo kiuhalisia waliajiliwa walikuwa elfu moja halafu magazeti yote yakasema epfu 13 kwa lazima.

2. Mauaji kila kona mpaka maiti zinaokotwa kwenye viroba coco beach

3. Uchumi kuendeshwa kiujanja ujanaja mpaka akafikia hatua ya kidanganya ulimwengu kuwa uchumi unakua kwa asilimia 7 wakati ni asilimia 4 mpaka repory ya imf ikafichwa.

4. Udictator ukatamalaki sana mpaka siasa za upinzani zikazimwa kibabe eti hawastahili kuishi bali kuuuawa refer kwa tundu lisu
Ongezea na hizi

1.Wahalifu wa Kibiti walikiona cha moto.Kila wakitaka kujipanga kuvuruga amani ya Nchi yetu walikula tako za kutosha waka tulia tuli kama....

2.Aliwaumbua hao ma Professor walio kuwa walimu wa hivyo vyuo ambao ndo wanatoa wanafunzi wao
Kwa kushindwa kuandaa Riport nzuri ya Madini.
Kwa kupotosha Uma kwa kutudanganya madini yalio kuwa yanasafirishwa kule bandari
Sasa kama hao Maprofesor vilaza itakuwaje.

3.JPM alinifurahisha kwa kuto fuga majambazi yakala kodi manineee. Jombaa waliliona Joto.

Any way nikikumbunguka na vingine ntakujaa tena.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mungu Kuna watu anawatumia hapaduniani Kama shule kwa umma wake ili uongoke au ujifunze Jambo fulani magufuli ni mmoja wao.

Somo la kwanza.
Ndugu pataneni mnapogombana maana mkishindwa mnampa nafasi adui kuneemeka na ugomvi wenu.Mtifuano wa kina lowasa ndani ya ccm ndio uliompa JPM kula kwamba wote tukose.

Somo la pili.
Usimtegemee binadamu mwenzako Bali mungu tu. Kuna watu walimtegemea JPM kuliko mungu wakasahau JPM ni mwanadamu tu Sasa katwaliwa kawaacha wanahanyahanya. Rejea polepole makonda bashiru msiba na sabaya nk.

Somo la tatu
Hakuna aijuae kesho yake Bali Mungu tu. Ccm walifikia mahali wakataka JPM atawale milele aongezewe muda atakeasitake. Mungu kumbe ndie aliejua ukomo wa siku zake. Rejea Sanga na mbunge wa kongwa aliekuwa mtangazaji wa radio.

Somo la nne.
Watu wasikulalamikie Sana kwa matendo yako vilio vyao vinasikika kwa muumba wao. Utawala wa JPM uliliza wengi kila Kona ya nchi na kila kundi liliguswa vilio vinasikika mbinguni.

Somo la tano.
Usijiamini kupita kiasi. JPM alikuwa na over confidence kitu ambacho kilimfanya ajisahau hivyo akajikuta anaharibu mambo mengi pengine kwa kutokujua.

Somo la sita.
Umuhimu wa katiba mpya. Sidhani Kama ccm wenyewe wangependa atokee mtu Aina ya magufuli Tena katika chama Chao. Hilo ni funzo na utawala wa magufuli umewafanya watu waone umuhimu wa katiba mpya na demokrasia.

Somo la Saba.
Tii Sheria na uifwate hata Kama itakubidi kuwajibika kwa kukataa maagizo mabovu ya wakubwa wako. Sabaya alipokuwa DC alifanya maufiri mengi na mpaka akaiambia mahakama kwamba alikuwa anatii maagizo toka juu Sasa Leo amebaki peke yake na maufiri yake aliyemtegemea kumlinda hayupo.

Ongezea masomo mengine uliyojifunza kwa hayati magufuli.
Wewe kwani kufa nyie hamfi huko?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
JPM alikuwa fundi sanaa hasa katika uongozi wake. Kwanza aliweza kuweka mambo wazi nyanja zotee.

1. Kimaendeleo hasa linapo kuja swalia za ripoti mbali mbali mfano.Madini kwakweli kupitia Mzee JPM nliweza kujua karibia kila kitu kilicho kuwa kinaendelea katika madini.
Lihali sasa naona giza tu hata taarifa za habari kutoka Channel na redio mbali mbali kukosa mvuto.

2. Aliweza kututia moyo sanaa hasa kwenye swala la kunitegemea na kutuamisha kuwa sisi ni matajiri basi hata kama ni uwongo basi sisi tulijihisi tunaweza na kila mtu alipata mhamko wa kuchapa kazi.JPM best of the Best.

3. Aliweza kukipa hadhi kiti cha uraisi na kueshimika kwa Jinsi alivyo jiweka na mdomaana mnaweza sema alijifanya Mungu mtu lakini kwakweli uraisi ulitua mahala sahihi.

4. Wale matajiri na wakwepa kodi mzee JPM alilala nao mbele mpaka wakakiona cha moto hadi wengine wamepotea kwenye ramani mpaka sasa wameshindwa kusimama tena.
5.Bila majungu nidham serikalini ilirudi kwa sehem kubwa tena sanaa.Si mahospitali nasehem zingine za kijamii.

6. Hakusafiri kwenda popote nje ya Bara la Africa na kulinda maslahi ya nchi yake kwa kuleta maendeleo kitu ambacho mabeberu walikonda sanaa.


Any way zipo zababu nyingi tuu nzuri na pia tunapaswa kujua Binadamu hatukosi kasoro katika maisha yetu ya kila siku.

ILA JPM MPAKA SASA KILA SEHEM HUKAI DAK KADHAA BILA KUTAMKWA JINA LAKE.

HAKIKA TUNA KAZI SANAA YA KUMSAHAU HASA KIZAZI HIKI CHA KWETU.
Hayo mbona hayaonekani yamefutika within 6 month
 
JPM alikuwa fundi sanaa hasa katika uongozi wake. Kwanza aliweza kuweka mambo wazi nyanja zotee.

1. Kimaendeleo hasa linapo kuja swalia za ripoti mbali mbali mfano.Madini kwakweli kupitia Mzee JPM nliweza kujua karibia kila kitu kilicho kuwa kinaendelea katika madini.
Lihali sasa naona giza tu hata taarifa za habari kutoka Channel na redio mbali mbali kukosa mvuto.

2. Aliweza kututia moyo sanaa hasa kwenye swala la kunitegemea na kutuamisha kuwa sisi ni matajiri basi hata kama ni uwongo basi sisi tulijihisi tunaweza na kila mtu alipata mhamko wa kuchapa kazi.JPM best of the Best.

3. Aliweza kukipa hadhi kiti cha uraisi na kueshimika kwa Jinsi alivyo jiweka na mdomaana mnaweza sema alijifanya Mungu mtu lakini kwakweli uraisi ulitua mahala sahihi.

4. Wale matajiri na wakwepa kodi mzee JPM alilala nao mbele mpaka wakakiona cha moto hadi wengine wamepotea kwenye ramani mpaka sasa wameshindwa kusimama tena.
5.Bila majungu nidham serikalini ilirudi kwa sehem kubwa tena sanaa.Si mahospitali nasehem zingine za kijamii.

6. Hakusafiri kwenda popote nje ya Bara la Africa na kulinda maslahi ya nchi yake kwa kuleta maendeleo kitu ambacho mabeberu walikonda sanaa.


Any way zipo zababu nyingi tuu nzuri na pia tunapaswa kujua Binadamu hatukosi kasoro katika maisha yetu ya kila siku.

ILA JPM MPAKA SASA KILA SEHEM HUKAI DAK KADHAA BILA KUTAMKWA JINA LAKE.

HAKIKA TUNA KAZI SANAA YA KUMSAHAU HASA KIZAZI HIKI CHA KWETU.
Magufuli aliwafaa sana wajinga wasioelewa chochote. Alizuia uhuru wa vyombo vya habari ili wajinga azidi kuwalisha ujinga kiasi kwamba wengine waligeuka kuwa wendawazimu:

1) Kwenye madini aliwadanganya sana watu wajinga, wengine mpaka leo wamebakia na ujinga aliowalisha marehemu. Ripoti ya Prof. Mruma ambaye alilazimishwa na marehemu aandike kuwa tunaibiwa ilikuwa ni report kwaajili ya wajinga. Anayefahamu, atajua ni upumbuvu. Ni sawa mtu akuambie nimemwona mwizi ameiba magunia 1000 ya mahindi, amebeba kwenye Hilux pickup, na wewe ukaamini. Chininya marehemu, uzalishaji wa dhahabu ulishuka kutoka kuwa mzalishaji wa 3 Afrika mpaka kuwa mxalushaji wa 6 Afrika. Mapato yaliongezeka kudogo kutokana na kupanda sana kwa bei ya dhahabu, lakini hatukufaidi vya kutosha kama yalivyofaidi mataifa mengine kutokana na kuanguka kwa uzalishaji. Aliua utafiti wa madini kiasi kwamba leo hii hakuna kampuni inayofanya utafiti wa madini Tanzania. Alisababisha uwekezaji mkubwa wa pili Duniani kwenye gas uondoke Tanzania na kuhamia Msumbiji. Marehemu alihangaika sana mpaka anakufa kutaka kuwarydisha wawejezaji wake, lakini walimkatalia katakata.

2) Aliangusha ukuaji wa sekta zote za uchumi. Kwenye ukuaji wa uchumi wa jumla, aliangusha kutoka 7.5% mpaka 1.9%. Kwenye ukuaji wa sejta ya utalii aliangusha toka 15% mpaka 3.6%. Kwenye uwekezaji aliangusha toka 24% mpaka 4%. Thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo, aliangusha kwa 50%. Per capita income, kwa miaka 5 aliipindusha kwa dola 80 tu wakati Mkapa katika miaka 10 aliipandisha kwa dola 400, na Kikwete kwa dola 380%. Kwenye uchumi aliua kila kitu. Alikuwa ni kiongozi wa uharibifu.

3) Kwenye demokrasia, uhuru wa watu na haki, kila mmoja anajua. Alileta siasa za kishenzi, za kuteka, kuua, kubambikia watu kesi na kuwapoteza. Hapa, utaona kabisa uthibitisho wa au huyu mtu alikuwa mgonjwa (ukichaa wa aina fulani) au ndani yake kulikuwa na roho ya shetani.

4) Kwenye mahusiano ya kimataifa, he was a zero performer. Hakuna nchi yoyote Duniani inaweza kuwepo bila ya mataifa mengine, na zaidi hizi nchi maskini. Akawaita watu ni mabeberu (labda yeye alikuwa jike). Kwenye Ulimwengu wa leo uliostaarabika, unaita binadamu wenzako mabeberu! He was a primitive leader worth for primitive creatures.

Funzo la jumla ni kuwa bila katiba nzuri ambayo ina uwezo wa kuzuia watu wa ajabu kuchukua madaraka, nchi bado ipo kwenye hatari kubwa ya kuweza kumpata wa namna yake au mbaya zaidi. Fikiria mtu kama Mwigulu awe Rais, si itakuwa afadhali ya marehemu?
 
Tunaambiwa kalamu ndio inafoka.

Inafoka inafoka vipi ndio kitendawili maana ikifoka lazima WINO ukuchafue wewe mshika KALAMU.
 
bado kivul cha mwamba kinawatesa mnamwongelea kila kukicha. Hiyo ndo maana halis ya huwez chafua oil chafu bal utachafuka wewe, miez kadhaa badae mtu keshafukiwa lakin bado anawakuna tu.

Jpm oyeee...hatotokea tena kama JPM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom