Ametuonyesha pia watanzania hata uwe mwema na mpenda nchi yako kiasi gani bado watu watakusema vibaya na kukusingizia uovu pasipo vithibitisho.1. Mzalendo wa kalne
2. Mtu pekee aliyeyagusa moja kwa moja maisha ya masikini
3. Ndie rais pekee aliyefuata misingi yake na si mfumo mbovu wa serikali
4. Ni rais pekee aliye mtegemea MUNGU na si wazungu wala matajiri
5. Kwa hakika alikuwa kiongozi haswa na si mtawala
MUNGU alimtuma kuionesha jamii ya kitanzania namna harisi ya uongozi
Binadamu tunajisahaulisha tu Kama Yesu alikuwa mwana wa MUNGU mpaka leo watu hawamkubali sembuse magufuli