Jay10
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 709
- 533
Kwa kuongezea tu hapo..... {Ktk iman.... } neno la Mungu la muelezea Mungu {the allmight God)} kuwa yeye ni Mungu mwenye wivu... Hvyo hapendi kufananishwa na binaadam yeyote and vice versa.... Note; wengi ktk serikali na baadhi ya wananchi walimchukulia kama Mungu na Kumsifu ktk maelezo yao.... Pengine na yy mwenye kutengeneza mfumo uliomfanya aonekane kama mungu mtu... N.k...... Fanya utafit utagundua wng wenye kujfanansha na mungu kwa maana ya kutaka kuhusudiwa, kuogopwa/kutetemekewa na kuheshimiwa kupta kias bas Mungu kwa wivu wake ule ule humchukua mtu huyo........Sawa
Kama huamin mjarib.....
Thats it.....