donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,040
- 21,513
usijali mkuu ngoja nikuleteeniletee kijiko kwenye hiyoo.. ya pili nijichane mie....
kweli kabisa mkuux mass hiyooooo inakaribia, haya mambo kiboro ndio kwao
heheh za jamaa wa pembeni tu mkuu mimi hata phonex sina!Hizo funguo za nan mkuu? Mtori umentoa udenda
farkhina njoo na pilipili yako kuna supu huku!!!
mkuu mtori huu
x mass hiyooooo inakaribia, haya mambo kiboro ndio kwao
x mass hiyooooo inakaribia, haya mambo kiboro ndio kwao
Mkuu. mbona unatukana tena.....eti kiboro?
Kweli hujui au watania farkhina !?
Mtori ni kama uji unaotokana na ndizi da farkhina ambamo unachanganywa na nyama etc. Ni chakula kizuri sana kwa watoto, wagonjwa, wa mama wajawazito na hata kwa wale wanaotumia kilevi inasaidia kukata kilevi asubuhi!