Tanzania Nchi Yetu Sote
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 505
- 854
Ipo hivi.........
Kuitenganisha mihimili ya dola ifanye kazi kwa kutokuingiliana ilikuwa ni sehemu ya mapendekezo ndani ya rasimu ya Warioba.
Kuundwa kwa mahakama ya juu (Supreme court) ilikuwa ni moja ya mapendekezo ndani ya rasimu ya Warioba.
Matokeo ya Rais kuhojiwa mahakamani ilikuwa ni moja ya mapendekezo ndani ya Rasimu ya Warioba
Rais kuondolewa kinga ya kutoshtakiwa kwa makosa aliyotenda wakati akiwa Rais ilikuwa ni moja ya mapendekezo ya Rasimu ya Jaji Warioba
Uhuru wa vyombo vya habari na waandishi wa habari ilikuwa ni moja ya mapendekezo ndani ya rasimu ya Jaji Warioba.
Jaji mkuu kutokuteuliwa na Rais ilikuwa ni moja ya mapendekezo ndani ya rasimu ya Warioba.
Je bado tunaihitaji Rasimu ya Warioba?
Kuitenganisha mihimili ya dola ifanye kazi kwa kutokuingiliana ilikuwa ni sehemu ya mapendekezo ndani ya rasimu ya Warioba.
Kuundwa kwa mahakama ya juu (Supreme court) ilikuwa ni moja ya mapendekezo ndani ya rasimu ya Warioba.
Matokeo ya Rais kuhojiwa mahakamani ilikuwa ni moja ya mapendekezo ndani ya Rasimu ya Warioba
Rais kuondolewa kinga ya kutoshtakiwa kwa makosa aliyotenda wakati akiwa Rais ilikuwa ni moja ya mapendekezo ya Rasimu ya Jaji Warioba
Uhuru wa vyombo vya habari na waandishi wa habari ilikuwa ni moja ya mapendekezo ndani ya rasimu ya Jaji Warioba.
Jaji mkuu kutokuteuliwa na Rais ilikuwa ni moja ya mapendekezo ndani ya rasimu ya Warioba.
Je bado tunaihitaji Rasimu ya Warioba?