Haya yote watanzania tunajitakia wenyewe

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,652
Siku hizi ukiangalia kwenye mitandao mingi ya kijamii kama FB, JF, IG etc. Post nyingi zinazomzungumzia JPM unakuta zimejaa comments nyingi za kumponda. Kwa upande mwingine nakutana na post za Lowassa ambazo unakuta comments nyingi zikimsifia na kumkubali mzee lowasa.

Huwa najiuliza mkulu huwa anajisikiaje anapoona hali kama hii ikiendelea kukuwa kwa kasi. Hata kama ni mimi lazima iniume sana. Nitafute kiki mimi lakini mwisho wa siku asifiwe mwingine????? Hapa lazima nikaze muishi kama mashetani ndyo mkome.

Watanzania tupunguze kumuonea Raisi wetu. Hata yeye ni binadamu anakosea. Tuanze mwaka 2017 na kumuombea.

Hasa member wa humu JF mjirekebishe. Nyie ndyo mnaongoza kumponda Raisi wetu.
 
Huuu ni uchambuzi, maoni...btw aliyataka mwenyewe(Apondwe tu hakuna namna)
 
Ukishika ukuta na kisha ukakata na kufunua vizuri, mafisadi wa ufipa watakupatia msosi hadi uvimbewe.
 
Siku hizi ukiangalia kwenye mitandao mingi ya kijamii kama FB, JF, IG etc. Post nyingi zinazomzungumzia JPM unakuta zimejaa comments nyingi za kumponda. Kwa upande mwingine nakutana na post za Lowassa ambazo unakuta comments nyingi zikimsifia na kumkubali mzee lowasa.

Huwa najiuliza mkulu huwa anajisikiaje anapoona hali kama hii ikiendelea kukuwa kwa kasi. Hata kama ni mimi lazima iniume sana. Nitafute kiki mimi lakini mwisho wa siku asifiwe mwingine????? Hapa lazima nikaze muishi kama mashetani ndyo mkome.

Watanzania tupunguze kumuonea Raisi wetu. Hata yeye ni binadamu anakosea. Tuanze mwaka 2017 na kumuombea.

Hasa member wa humu JF mjirekebishe. Nyie ndyo mnaongoza kumponda Raisi wetu.
Siku zote ndugu yangu lazima ujue kuwa Watanzania wanapenda mteremko, ukiona raisi anapondwa ujue kuwa lazima anafanya kazi yake, matunda yake yataonekana baadae. Kila mtu lazima afanye kazi ili alipe kodi vya mteremko vimeisha.
 
Mkuu watu wanafisika wanapostaili sifa ila ukiboronga lazima utapondwa tu upende au usipende
 
Siku hizi ukiangalia kwenye mitandao mingi ya kijamii kama FB, JF, IG etc. Post nyingi zinazomzungumzia JPM unakuta zimejaa comments nyingi za kumponda. Kwa upande mwingine nakutana na post za Lowassa ambazo unakuta comments nyingi zikimsifia na kumkubali mzee lowasa.

Huwa najiuliza mkulu huwa anajisikiaje anapoona hali kama hii ikiendelea kukuwa kwa kasi. Hata kama ni mimi lazima iniume sana. Nitafute kiki mimi lakini mwisho wa siku asifiwe mwingine????? Hapa lazima nikaze muishi kama mashetani ndyo mkome.

Watanzania tupunguze kumuonea Raisi wetu. Hata yeye ni binadamu anakosea. Tuanze mwaka 2017 na kumuombea.

Hasa member wa humu JF mjirekebishe. Nyie ndyo mnaongoza kumponda Raisi wetu.
sisi huwa tuna wasubiri hao wapiga kelele kwenye box la kura
 
Siku hizi ukiangalia kwenye mitandao mingi ya kijamii kama FB, JF, IG etc. Post nyingi zinazomzungumzia JPM unakuta zimejaa comments nyingi za kumponda. Kwa upande mwingine nakutana na post za Lowassa ambazo unakuta comments nyingi zikimsifia na kumkubali mzee lowasa.

Huwa najiuliza mkulu huwa anajisikiaje anapoona hali kama hii ikiendelea kukuwa kwa kasi. Hata kama ni mimi lazima iniume sana. Nitafute kiki mimi lakini mwisho wa siku asifiwe mwingine????? Hapa lazima nikaze muishi kama mashetani ndyo mkome.

Watanzania tupunguze kumuonea Raisi wetu. Hata yeye ni binadamu anakosea. Tuanze mwaka 2017 na kumuombea.

Hasa member wa humu JF mjirekebishe. Nyie ndyo mnaongoza kumponda Raisi wetu.
Afu kibaya zaidi ni kwamba wanaamini UYO LOWASSA angewawezesha kulamba asali BURE bila kufanya KAZI.....HUU NI UPUUZI WA KIWANGO CHA HALI YA JUU KABSA HAPA DUNIANI........kila siku tunawaambia humu MAISHA MAZURI UTAYATENGENEZA MWENYEWE USITEGEMEE MWANASIASA.........kinachoonekana HUMU JF ni wengi wenu HAMNA KAZI ZA KUFANYA.....MNA CHUKI ZA KIPUUUZI JUU YA CCM NA RAISI Kana kwamba hao Mna waona ni MBADALA WA CCM wameonyesha dalili nzuri ya kuwa mbadala kwa MIENENDO YAO,MATENDO YAO NA VINYWA VYAO YA KILE WASEMACHO NA MSIMAMO NDANI YA CHAMA CHAO,,,.........ukiwaza hayo unakuta MARA MIA YA CCM....
 
Back
Top Bottom