Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
jamani naomba waziri wa Hii wizara ajiuzulu Hapa tumekamata pembe 700 nipo Malysia Zilikuwa zinaenda China hazina kibali ↲
Nawasilisha
Nawasilisha
<br />jamani naomba waziri wa Hii wizara ajiuzulu Hapa tumekamata pembe 700 nipo Malysia Zilikuwa zinaenda China hazina kibali ↲<br />
Nawasilisha
<br />Ajiuzulu aliyemteua
<br />jamani naomba waziri wa Hii wizara ajiuzulu Hapa tumekamata pembe 700 nipo Malysia Zilikuwa zinaenda China hazina kibali ↲<br />
Nawasilisha
<br />Mnataka source mi mwenyewe Ila ambao mpo Tz BBC SWAHILI WATATANGAZA
<br />Sio ajiuzulu pekee haistoshi anyongwe na yeyey na aliyemchagua
mkuu, tukiwaambia makuwadi wa hawa magamba hapa jamvini wawashauri mambwana zao waache wizi huu kwani siku si nyingi mwanga utaonekana, wao wanataka kuongelea mavazi ya cdm, wanataka kuongelea watu na sio issue......ni wazi kuwa wanapata ujira wao, lakini adhabu kwa mabwana zao itakuwa sawa sawa na adhabu kwao.Janja,hapa tanzania wanyama wapatao 116 wametoroshwa wakiwa hai,,,,,na hakuna lolote,sembuse pembe zilizokamatwa malaysia???????SAHAU,zile za vietnam??????zimeishia wapi????&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;
<br />Janja,hapa tanzania wanyama wapatao 116 wametoroshwa wakiwa hai,,,,,na hakuna lolote,sembuse pembe zilizokamatwa malaysia???????SAHAU,zile za vietnam??????zimeishia wapi????<br /><br />
<br />
<br />hebu leta habari kwa kina ieleweke vizuri ..una hakika zinatoka tz
<br />BBC wametangaza jioni hii
<br /><br /><br />
<br /><br />
hivi Nyumbani tanzania hakuna Usalama wa taifa