Haya waziri wa Utalii na Mali Asili Ajiuzulu

Janja PORI

JF-Expert Member
Jul 31, 2011
825
246
jamani naomba waziri wa Hii wizara ajiuzulu Hapa tumekamata pembe 700 nipo Malysia Zilikuwa zinaenda China hazina kibali ↲
Nawasilisha
 
Nilijuwa tayari kajiuzulu, kumbe unamtaka ajiuzulu? Mmekamata nyie na kina nani?
 
Kwa ujumla hakuna sheria ambayo inaruhusu biashara hiyo,,,,unakumbuka tanzania walikataliwa kuuza pembe????
jamani naomba waziri wa Hii wizara ajiuzulu Hapa tumekamata pembe 700 nipo Malysia Zilikuwa zinaenda China hazina kibali &#8626;<br />
Nawasilisha
<br />
<br />
 
jamani naomba waziri wa Hii wizara ajiuzulu Hapa tumekamata pembe 700 nipo Malysia Zilikuwa zinaenda China hazina kibali &#8626;<br />
Nawasilisha
<br />
<br />
lete source basi mbona habari inaelea tu juujuu!
 
Mnataka source mi mwenyewe Ila ambao mpo Tz BBC SWAHILI WATATANGAZA
 
Janja,hapa tanzania wanyama wapatao 116 wametoroshwa wakiwa hai,,,,,na hakuna lolote,sembuse pembe zilizokamatwa malaysia???????SAHAU,zile za vietnam??????zimeishia wapi????
Mnataka source mi mwenyewe Ila ambao mpo Tz BBC SWAHILI WATATANGAZA
<br />
<br />
 
Janja,hapa tanzania wanyama wapatao 116 wametoroshwa wakiwa hai,,,,,na hakuna lolote,sembuse pembe zilizokamatwa malaysia???????SAHAU,zile za vietnam??????zimeishia wapi????&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;
mkuu, tukiwaambia makuwadi wa hawa magamba hapa jamvini wawashauri mambwana zao waache wizi huu kwani siku si nyingi mwanga utaonekana, wao wanataka kuongelea mavazi ya cdm, wanataka kuongelea watu na sio issue......ni wazi kuwa wanapata ujira wao, lakini adhabu kwa mabwana zao itakuwa sawa sawa na adhabu kwao.
Ritz, ngongo, ff, kishongo, mwita wa clouds, rejao na kenge wengine. Wake up!
 
Janja,hapa tanzania wanyama wapatao 116 wametoroshwa wakiwa hai,,,,,na hakuna lolote,sembuse pembe zilizokamatwa malaysia???????SAHAU,zile za vietnam??????zimeishia wapi????&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
hivi Nyumbani tanzania hakuna Usalama wa taifa
 
Fanyeni mpango wa kuuza hukohuko muambulie chochote, mkileta huku bado hamtasaidia kitu maana hawa wa2 wameshaiuza nchi kwa faida yao pekee. Ukizileta huku watauza tena kwa bei ya kutupwa, uzeni tu na nyie mpate mgao wa rasilimali za TZ.
 
Subiri Aljazeera Swahili ndo mtapata Data Vyombo vya habari Tz c aft Money
 
Back
Top Bottom