Haya Watu wa ICT fursa nyingine hizo

Hahahaha sijui hata wameingia je kwenye kabati...

Ila kugonga code ni art mkuu,ile haipp kwa ajili ya kila mtu

Tatizo wabongo wanataka kujua kila kitu..

Ujue

Networking
Programming
System analysis
Security
Graphic
Artificial intelligence n.k
Acha kabisa,hata watunzi wa mitihani pia nao wanazingua,nimefanya paper ya TAA juzi,huko huko kuna python,java,c++,c#,php kiswali kimoja.Mtu utajuaje language zotw hizo
 
Acha kabisa,hata watunzi wa mitihani pia nao wanazingua,nimefanya paper ya TAA juzi,huko huko kuna python,java,c++,c#,php kiswali kimoja.Mtu utajuaje language zotw hizo
Hahahaha hatari sana aisee..ndio maaana mtu anasoma kila kitu na anakua hewa kila sehemu, ila kila mtu angehamua kukomaa na sehemu moja ungekuta watu wapo vizuri sana,,kampuni inataka imwajiri mtu mmoja tu afanye kila kitu kweye dep ya it kwel
 
Acha tu si mchezo.
Hahahaha hatari sana aisee..ndio maaana mtu anasoma kila kitu na anakua hewa kila sehemu, ila kila mtu angehamua kukomaa na sehemu moja ungekuta watu wapo vizuri sana,,kampuni inataka imwajiri mtu mmoja tu afanye kila kitu kweye dep ya it kwel
 
Hahahaha sijui hata wameingia je kwenye kabati...

Ila kugonga code ni art mkuu,ile haipp kwa ajili ya kila mtu

Tatizo wabongo wanataka kujua kila kitu..

Ujue

Networking
Programming
System analysis
Security
Graphic
Artificial intelligence n.k
Kabisaaa chief...hapo ndio shida inapoanzia
 
Hahahaha sijui hata wameingia je kwenye kabati...

Ila kugonga code ni art mkuu,ile haipp kwa ajili ya kila mtu

Tatizo wabongo wanataka kujua kila kitu..

Ujue

Networking
Programming
System analysis
Security
Graphic
Artificial intelligence n.k
wanayumba sana...hizi kazi huwa nazicheki tu kisha napita zangu hivii! Bora niendelee kuganga njaa tu
 
mazee mnazingua ukishamaster language moja
hizo nyingine zitakuwa rahisi tu sababu logic ni ileile...............
tehteh code iheshimiwe na watu wote.........
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom