Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,052
- 1,154
EGA Wameshafanya yaoView attachment TANGAZO-LA-KAZI-EGA-JUNE-2019.pdf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaefahamu mshahara wa Ega ict officer II ni shilingi ngapi kwa mweziEGA Wameshafanya yaoView attachment 1124042
Gross 2.1 millions Tsh
Mavigezo yote yale?Gross 2.1 millions Tsh
😂 😂 😂 😂Mavigezo yote yale?
Aiseee changu nimekuta nyigu kajenga nyumba mkuuVyeti vipo tatizo kugonga Code
hahah kwani umetundika kama leseni ya biasharaAiseee changu nimekuta nyigu kajenga nyumba mkuu
Hahahaha sijui hata wameingia je kwenye kabati...hahah kwani umetundika kama leseni ya biashara
Acha kabisa,hata watunzi wa mitihani pia nao wanazingua,nimefanya paper ya TAA juzi,huko huko kuna python,java,c++,c#,php kiswali kimoja.Mtu utajuaje language zotw hizoHahahaha sijui hata wameingia je kwenye kabati...
Ila kugonga code ni art mkuu,ile haipp kwa ajili ya kila mtu
Tatizo wabongo wanataka kujua kila kitu..
Ujue
Networking
Programming
System analysis
Security
Graphic
Artificial intelligence n.k
Hahahaha hatari sana aisee..ndio maaana mtu anasoma kila kitu na anakua hewa kila sehemu, ila kila mtu angehamua kukomaa na sehemu moja ungekuta watu wapo vizuri sana,,kampuni inataka imwajiri mtu mmoja tu afanye kila kitu kweye dep ya it kwelAcha kabisa,hata watunzi wa mitihani pia nao wanazingua,nimefanya paper ya TAA juzi,huko huko kuna python,java,c++,c#,php kiswali kimoja.Mtu utajuaje language zotw hizo
Hahahaha hatari sana aisee..ndio maaana mtu anasoma kila kitu na anakua hewa kila sehemu, ila kila mtu angehamua kukomaa na sehemu moja ungekuta watu wapo vizuri sana,,kampuni inataka imwajiri mtu mmoja tu afanye kila kitu kweye dep ya it kwel
Halaf code za kwenye makaratasi zile kwenye interview ndio huwa zinatoa KKO chalii...nikishawazaga hayo huwa naachana nayo haya applicatio.Wangeakua na prac tu ingeakua poa sanaVyeti vipo tatizo kugonga Code 😁😁😁
Kabisaaa chief...hapo ndio shida inapoanziaHahahaha sijui hata wameingia je kwenye kabati...
Ila kugonga code ni art mkuu,ile haipp kwa ajili ya kila mtu
Tatizo wabongo wanataka kujua kila kitu..
Ujue
Networking
Programming
System analysis
Security
Graphic
Artificial intelligence n.k
wanazogoa sanaHalaf code za kwenye makaratasi zile kwenye interview ndio huwa zinatoa KKO chalii...nikishawazaga hayo huwa naachana nayo haya applicatio.Wangeakua na prac tu ingeakua poa sana
wanayumba sana...hizi kazi huwa nazicheki tu kisha napita zangu hivii! Bora niendelee kuganga njaa tuHahahaha sijui hata wameingia je kwenye kabati...
Ila kugonga code ni art mkuu,ile haipp kwa ajili ya kila mtu
Tatizo wabongo wanataka kujua kila kitu..
Ujue
Networking
Programming
System analysis
Security
Graphic
Artificial intelligence n.k
Kazi hizi zina shavu la kutosha ila sasa kupata ndo changamoto mnowanayumba sana...hizi kazi huwa nazicheki tu kisha napita zangu hivii! Bora niendelee kuganga njaa tu