haya wadau ningependa kujua kuhusu hili suala

ypointer

Member
Nov 1, 2010
9
0
habari wadau napenda kuulizia ni vyuo gani vinavyotoa chet cha COMPUTER SCIENCE & ENGINEERING halafu viwe vinatambuliwa na SERIKALI
 
UDSM Bsc Eng.
DIT B. eng
IFM ICT (you know it narrowly differ with Comp eng.)
AFAIK

Check na TCU kuona kama chuo kinatambulika na serikali
 
Back
Top Bottom