Chakunyuma
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 810
- 152
Osogoni ana point tuache kuwa pessimistic hatutafika tumeona kwa takribani kwa miaka 50 hatujafanikiwa kwasababu ya dhana hiyo. Tujaribu kudream kama Osogoni ninahakika rais atakuwa underpressure na hii ndo itatuendeleza. Tukumbuke bila kuwa na matumaini ya yajayo maisha yanakosa motivation na husababisha nchi kupiga marktime yaani kusimama palepale au kusonga mbele hatua chache tofauti na potentials zilizopo.