Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Intelligence ni neno lenye maana pana sana lakini kwa tafsiri nyepesi ni uwezo wa kuchambua mambo na kuwa na kutunza kumbukumbu.
Sasa mtu anaweza kuwa mzuri wa kuchambua mambo ya dini, mpira, uvuvi, ufugaji, muziki na kadhalika na wala wakati mwingine haitaji kuwa ameenda shule ili kuwa mchambuzi mzuri kwani hobby na uzoefu huwa vinachangia sana. Hata hivyo ukikutana na mtu aliyekisomea kitu halafu ama was na hobby nacho ni rahisi sana kuwa na uwezo mkubwa wa kuchambua suala hilo.
Aidha, kuna masuala ambayo kama mtu hajaenda shule ina kuwa ngumu kuyachambua, mfano masuala ya kisiasa, kiuchumi, kivita, kiteknolojia, kifilosofia na kisaikolojia. Ni masuala kama hayo yanayofanya jamii fulani zionekane zina watu wenye akili nyingi kutokana na kuwa na watu wengi waliofaulu elimu za juu.
Kabla ya kuja elimu ya kimagharibi, mabavu zetu walikuwa wakarithisha elimu kwa watoto wao kupitia uzoefu (experience) na theory kidogo tu tofauti na sasa ambako mtu anakalishwa madarasani kwa miaka hata zaidi ya 20 akimezeshwa material ya kila aina.
Elimu ya uzoefu siyo ngumu kama ya theory na pia elimu ya uzoefu ni ngumu kumtenganisha aliye bora dhidi ya asiye bora tofauti na elimu ya kimagharibi ambayo ukifeli mitihani unaonekana ni kilaza na anayefaulu ni kipanga.
Vituvinavyosababisha baadhi ya makabila kuwa na akili nyingi za darasani ni:
  • Genetical origins (asili ya jeni zako). Je, Wewe ni/una mchanganyiko wa damu zifuatazo - semitic, hamitic, nilotic, Bantu, ama San (bushmen)? Hii sifa inaathiri akili zako.
  • Climatical Conditions (hali ya hewa). Je eneo la asili la familia, ukoo na Kabila lenu linapata mvua za kutosha (zaidi ya mm 1200) mwaka na kwa angalao miezi tisa inayopata mm 100 @? Hii ndiyo sifa kuu ya kabila kuwa na akili nyingi, possibly 50-60%
Sifa nyingine ni:
  • Eneo lenye Udongo wenye rutuba, hasa wa volcanic.
  • Eneo lenye Joto la kadri (lisizidi angalao 20 degree centigrade) ili kutunza nishati ya mwili.
  • Eneo lisilo na Malaria pamoja na Homa ya Manjano (Yellow Fever).
  • Eneo lisilo na Sleeping sickness (Trypanasomiasi na Nagana).
  • Eneo lisilo na Kichocho (Schistosomiasis ama Bilharzia).
  • Eneo lenye kiwango kidogo cha Madini ya Fluoride (<1.5 mg/L)
  • Eneo lenye kiwango cha kutosha cha Madini ya Iodine.
  • Eneo lenye utajiri Samaki, hasa wa maji baridi.
  • Eneo lenye utajiri wa Mifugo, hasa ng'ombe wa maziwa.
  • Eneo lenye Usalama (hasa visiwani na milimani).
Haya hebu fuatilieni asili zenu hasa ukoo wenu. Ulizia sifa hizo kama walikuwa nazo. Kumbuka asili ya jeni zenu na hali ya mvua, zina nguvu kubwa ya labda asilimia 60 -70%. Hivyo kama ukoo wako uliishi eneo ambalo miezi inayopata mvua ya mm 100 ni chini ya 7, basi ujue hata kama mna sifa nyingine zote, hamtakuwa watu wenye akili sana.

NB: Umewadis Wahaya na kumsifia Mkerewe lakini nakwambia hayo makabila ni synonymous kwani yana asili inayofanana na yana sifa za hali ya hewa zinazofanana. They are indeed among the best in the best in Tanzania.
Soon, Nikiwa tayari na uandaaji wa ripoti yangu nitarudi.
Aiseeee umenifungua pahala
 
Of course they are very intelligent...Ukienda pale MOI wale madaktari wa mishipa ya fahamu na ubongo(Neurosurgeon ) wote ni wahaya.....This is one of the speciality in medicine ambayo ni ngumu sana .....
Duu
 
cha ajabu ni kuwa mkoa wao wa Kagera ndio mkoa maskini zaidi hapa Tanzania!!!!!fanyia na hili utafiti uje utujuze kwa nini ma prof wawe maskini
Kwa sababu ya ccm yako.halafu hiyo ni takwimu.vijiji vyao kuna migheto ya nguvu hasa kule muleba, na misenyi
 
I WILL NEVER AGREE IF HAYA IS MOST INTELLIGENCE
Mm nmesoma advance kanda ya ziwa shule ile kuazia headmasta n mhaya headboy etc ilaa mm wa kusini magharibi mbona nliwakimbiza had nikawa academic prefect na nliwakimbiza had NECTA nyuma ya Mkerewe flan aliyepata div 1 ya 4
NINACHOAMIN NI HIKI
wahaya na uhayani ndo sehem za mwazo kabsa wakolon kuendesha huduma za kijamii na mishen za kisasa

cash crops zlsaidia sana wahaya kusoma, the fact remain that waliweza ku afford school fees na location advantage due to presence of many school

KUSEMA WAHAYA MORE INTELLIGENCE THAN OTHER Tribe hapana Wakuluuuuuu
Ila kumeshatokeA watoto wengi wa kagera wenye akili za ajabu sasa ni watano na wamezagaa mno mitandaoni why kagera
 
Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.

Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,

International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir


NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,

Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv

Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,

Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki

Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga

Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?

Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA

Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,

Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa

Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com

Dar feels the pinch of global financial crisis
waluo tuna Nobel kupitia Barack Obama, tuna Oscar kupitia Lupita, tumecheza World cup kupitia Origi , need we say more
 
Huwezi ukasema wanafuatiwa kikuyu wakati hao wahaya wamepakana na uganda na wapo hapo uganda kwa kabila lingine ila ni asili hiyohiyo. Tuseme haojamaa wenye asili ya kihaya wapo vuzuri sana pande zote zt na ug.
 
Yaani umekosa cha kuandika unaandika upuuzi huu.Wewe utakuwa ni Mhaya lazima.Hizi ni tabia zenu zile zile ovu za kujifanya ninyi ni bora kuliko watu wote,mna kila kitu,mna akili sana,so you know everything.Ni misifa tu ya kijinga mtindo mmoja na dharau tele kwa watu wengine.Hovyo sana.Hata hamuoni aibu loo.Na hata kama ni kwelii,why should you show it for Gods' sake,huoni kwamba kwa kufanya hivyo watu watazidi kuwachukia?Wenye akili wanaficha udhaifu wao jamani,ninyi vipi?No wonder really many people hate you.

Nilipata bahati mbaya sana ya kuoa Mhaya,dah,nilipata joto ya jiwe first hand,sisimuliwi.
Baadae ilibidi nibwage manyanga.It was extremely difficult time for me.
 
Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.

Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,

International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir


NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,

Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv

Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,

Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki

Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga

Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?

Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA

Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,

Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa

Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com

Dar feels the pinch of global financial crisis
Ni kwelii lkn hawapelekii maendeleo kwaoooo
 
Yaani umekosa cha kuandika unaandika upuuzi huu.Wewe utakuwa ni Mhaya lazima.Hizi ni tabia zenu zile zile ovu za kujifanya ninyi ni bora kuliko watu wote,mna akili sana,so you know everything.Hata hamuoni aibu loo.Na hata kama ni kwelii,why should you show it for Gods' sake.Ovyo sana.Ndio maana watu wengi wanachukia Wahaya.

Nilipata bahati mbaya sana ya kuoa Mhaya,dah,nilipata joto ya jiwe first hand,sisimuliwi.
Baadae ilibidi nibwage manyanga.
Pole sana. Huyo mkeo ulubahatika kuzaa nae?
 
Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.

Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,

International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir


NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,

Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv

Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,

Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki

Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga

Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?

Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA

Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,

Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa

Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com

Dar feels the pinch of global financial crisis
Kuna kíjana anataka kubadili kabila awe muaya!
Je afanyeje?
Kabila lake analotaka kulikimbia ni zaramo OG
 
Yaani umekosa cha kuandika unaandika upuuzi huu.Wewe utakuwa ni Mhaya lazima.Hizi ni tabia zenu zile zile ovu za kujifanya ninyi ni bora kuliko watu wote,mna akili sana,so you know everything.Hata hamuoni aibu loo.Na hata kama ni kwelii,why should you show it for Gods' sake.Ovyo sana.Ndio maana watu wengi wanachukia Wahaya.

Nilipata bahati mbaya sana ya kuoa Mhaya,dah,nilipata joto ya jiwe first hand,sisimuliwi.
Baadae ilibidi nibwage manyanga.
Mkuu umeandika kwa hasira sana je ungeoa mzaramo ungekuwa chizi dk hii niulize mm na alikua ni gal wangu tu ila nilikiona cha mtema kuni
 
Back
Top Bottom