Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
Asalaam alaykum Marafiki zangu wote Wanachama watukufu wa Jamii Forums. Siku ya Leo ndio ni siku yangu tukufu ya
Kuzaliwa ninamshkuru Mwenyeezi Mungu kwa kuniweka mpaka siku hii ya leo ya kuzaliwa na kuwa na Afya bora na uzima
hakuna budi Kumshukuru Mwenyeezi Mungu kwa kuweza kunifikisha mpaka hii leo na kutimiza miaka 48 leo ndio Sikukuu
yangu ya kuzaliwa ningependa kuwaambie Marafiki zangu wote wa jamii forums na Ma-Moderator kwa kushirikiana nao
katika hali na mali furaha na huzuni katika kuchangia hii Jamii forums mawazo yangu na mawazo yenu ninawashukuruni
Wote Wanachama na Ma Moderator kwa uvumilivu wenu juu yangu na Leo hii ndio Sikukuu yangu ya kuzaliwa najipongeza
kwanza mimi Mwenyewe Happy Birthday MziziMkavu............ Karibuni wote.....Kusheherekea Sikukuu yangu nawakaribisha asanteni.........
Kuzaliwa ninamshkuru Mwenyeezi Mungu kwa kuniweka mpaka siku hii ya leo ya kuzaliwa na kuwa na Afya bora na uzima
hakuna budi Kumshukuru Mwenyeezi Mungu kwa kuweza kunifikisha mpaka hii leo na kutimiza miaka 48 leo ndio Sikukuu
yangu ya kuzaliwa ningependa kuwaambie Marafiki zangu wote wa jamii forums na Ma-Moderator kwa kushirikiana nao
katika hali na mali furaha na huzuni katika kuchangia hii Jamii forums mawazo yangu na mawazo yenu ninawashukuruni
Wote Wanachama na Ma Moderator kwa uvumilivu wenu juu yangu na Leo hii ndio Sikukuu yangu ya kuzaliwa najipongeza
kwanza mimi Mwenyewe Happy Birthday MziziMkavu............ Karibuni wote.....Kusheherekea Sikukuu yangu nawakaribisha asanteni.........