Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
Mwanangu anajuwa kuendesha gari mnasemaje Wakuu?
Uwe unamvalisha nguo basi, kixhupi hicho kinantia aibu kumtizama bwana!
Kwani kuna jukwaa la watoto jf?
Hapa kachoka Mwanangu ku chat kwenye Jamii forums anasinzia tu.
Alijifunzia wapi na nani amempa leseni? Ni nchi gani hapo?
Mwanangu anajuwa kuendesha gari mnasemaje Wakuu?
yalee yale bongolala......sasa unatuwekea tuseme nini? kama wamfundisha gari sie tuseme nini? inshii wengine bana
Mwanangu anajuwa kuendesha gari mnasemaje Wakuu?
@SIMBA WA TARANGA hapo yupo Dares-Salaam Tanzania alipokuja kutembea akitokea Ulaya.Alijifunzia wapi na nani amempa leseni? Ni nchi gani hapo?
@Rutashubanyuma Hilo Gari ni la automatic Car hakuna haja ya kukanyaga mafuta kila kitu automatic Mkuu.naona amepozi tu kwani miguu mbona haifiki kwenye gia ataliendeshaje na atalisimamishaje kama hawezi kukanyaga bureki?
@Cantalisia Haendeshe Gari Natania tu mama yake yupo nyuma ndani ya gari....................Mama yake ana taarifa?
@Ndinani Mkuu Gari hiyo ipo Gereji inatengenezwa yeye anachezea tu Usukani hawezi kuendesha Gari mtoto mdogo namna hiyoooooooooooooooSi vizuri wala mapenzi kwa watoto kuwazoeza kushika usukani wakiwa angali makinda; wakikua kidogo huwa na ujasiri wa kutaka kuendesha angali bado sana na hiyo mara nyingi husababisha majanga kwa familia!!
@gfsonwin it's not true this is joke................Subiria kunyea ndoo siku akipata ajali