Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,112
Mnasemaje kuhus hiyo gari yangu nikiileta hapo Dares-Salaam kuna njia za kupita hilo gari langu?
Mkuu mbona umehamaki kama vile una ugeni hapa jamvini?unayo au yakununulia kwenye picha?kwanza unajua hata bei za magari wewe...ebu kuweni na akili hata kidogo kama ya kuku..
acha njia za kupita hata hali ya hewa haitaruhusu gari aina hiiMnasemaje kuhus hiyo gari yangu nikiileta hapo Dares-Salaam kuna njia za kupita hilo gari langu?
kwa hii rangi usipite njia za jangwaniMnasemaje kuhus hiyo gari yangu nikiileta hapo Dares-Salaam kuna njia za kupita hilo gari langu?
Mkuu jamii01 Ulaya hata kama huna pesa ukipata wazamini wa kazini kwako boss wako akikuzaminiunayo au yakununulia kwenye picha?kwanza unajua hata bei za magari wewe...ebu kuweni na akili hata kidogo kama ya kuku..
Mkuu MadameX nitakuwa nayo silaha kiunoni pamoja na body guard wangu mmoja nitakuwa ninatembea nae unasemaje?Utaendesha barabara gani....zaidi utaweka roho yako juu
Mkuu watu8 kwani nikiwa na silaha kiunoni utanijuwa?ukijaribu kutaka kuniibiwa nakuwasha nayo unasemaje?Gari kama hiyo utakua waiendesha Masaki - Posta tu, huku kwingine kuna tutaz kama ugomvi, mfano hapa Migombani karibu na kwa JK au kule Akachube
Mnasemaje kuhus hiyo gari yangu nikiileta hapo Dares-Salaam kuna njia za kupita hilo gari langu?
mbona umekuwa mbogo mkuu? Raha jipe mwenyewe.unayo au yakununulia kwenye picha?kwanza unajua hata bei za magari wewe...ebu kuweni na akili hata kidogo kama ya kuku..