MariaMungu
Member
- Oct 14, 2020
- 40
- 35
Popo kanyea mbingu aiseeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣One man down we need a back up.. I repeat one man down we need a back up ..over!
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Roger thatOne man down we need a back up.. I repeat one man down we need a back up ..over!
unamanisha nnMwanaume kifua
Ulipo salamu zifikeNdiwo ndiwoooo
mwambie kwamba anagongewa kama kawa, kwanini umfiche?Sijui tukwambie ukweli??
Mungu aitunze ndoa yenuEbwana eheee nimeoa miaka Saba iliyopita lakini cha kushangaza sasa kila siku unaambiwa mapenzi yazidi kuongezeka na sasa si mapenzi tena Mwanaume mwenzenu napata uroda.
Asubui nikiamka nakuta maji bafuni zamani maji ya kuoga alikua anayaunga na karafuu Ila sasaivi ameongeza anaweka majani ya mdarasini na mchaichai, katika mapishi ndo usigusee kabisaa Kila siku nakula radha mpyaa katika chakula binzari haikosii.
Kitandani Kila siku twalalia shuka jeupee na kabla sijalala nafanyiwa masaji ya buree na mafuta ya tende. Kila siku napewa mtindo mpyaaa Sio ya mbuzi kagoma tu, Kuna ile popo kanyea mbingu bhana,nikilala hoiii unaambiwa Kama mbeba viroba kariakoo shimoni.
Jamani kuoa raha nyiee.
Hebu tuma namba yake nimwelekeze kitu kuna utamu amesahau kukupatia mkuuEbwana eheee nimeoa miaka Saba iliyopita lakini cha kushangaza sasa kila siku unaambiwa mapenzi yazidi kuongezeka na sasa si mapenzi tena Mwanaume mwenzenu napata uroda.
Asubui nikiamka nakuta maji bafuni zamani maji ya kuoga alikua anayaunga na karafuu Ila sasaivi ameongeza anaweka majani ya mdarasini na mchaichai, katika mapishi ndo usigusee kabisaa Kila siku nakula radha mpyaa katika chakula binzari haikosii.
Kitandani Kila siku twalalia shuka jeupee na kabla sijalala nafanyiwa masaji ya buree na mafuta ya tende. Kila siku napewa mtindo mpyaaa Sio ya mbuzi kagoma tu, Kuna ile popo kanyea mbingu bhana,nikilala hoiii unaambiwa Kama mbeba viroba kariakoo shimoni.
Jamani kuoa raha nyiee.