Haya si matumizi ya mali za serikali kwa manufaa ya chama?

Kwa kuwa wimbo wa Taifa ni mali ya Taifa na CDM wameutumia, wangeuacha tungejengea zahanati ngapi?
 
Tuacheni ushabiki wa kisiasa; kwa kuzingatia elimu tulonazo matumizi ya wimbo wa Taifa sina shaka kila mmoja anayafaham; sidan kama chama binafsi kinaruhusiwa kutumia wimbo wa Taifa kwa sababu zao tofauti si CCM wala CDM labda uwe ni utaratibu mpya na kama ndivyo basi tunakoelekea tutaanza kuutumia hadi kwenye kumbi za starehe na kama haitoshi ataibuka mtu atataka aufanyie remix na kuachia single yake; na mwingine (Njeree) ataibuka na bendera ya taifa ajifunge rubega akate kitaa la hasha tunapotoka"

wewe hujaona watu wamevaa bendera ya Taifa ama huja sikia remix ya wimbo wa Taifa je, wimbo wenyewe wa Taifa hujui kama ni remix? amka wewe usinziaye uangaziwe
 
Ni kweli kwamba wimbo wa Taifa ni mali ya watanzania lakini mbona hujasema kwa upande wa vyama vya siasa, je vinaruhusiwa kutumia? Kwa upande wangu ninatambua kuwa wimbo wa taifa ni moja ya alama za kitafa (National symbols) zingine zikiwa ni Nembo (Court of arms) na Bendera (National flag). Kama ambavyo huwezi kuona bendera ya taifa ikipepea katika ofisi za vyama vya siasa hasa ambavyo havijaunda serikali ndiyo inavyotakiwa kuwa hata kwa wimbo wa taifa.
Bendera ya Taifa mwenzenu Mwigulu Nchenba kaigeuza hijabu yake, mbona hamumsemi? Sembuse wimbo wa Taifa! Halafu mmesema vema kwamba wimbo huo ni mali ya watz wote. Sasa unawatofautisha vp watz na vyama vya siasa? Au walioko kwenye vyama sio watz?
 
dema inawakilisha taifa kwenye kupinga matumizi mabaya ya rasilimali zake na ufisadi dhidi ya taifa.
ccm ndio wanatakiwa kupigwa mafufuku kuutumia kwa sababu wako kinyume na taifa.
 
negative impact mojawapo ya utawala wa nyerere ni uoga wa kipumbavu kwa watanzania,nimekua nikiona mambo kadhaa yanafanyika wakati huu lakini wakati wa nyerere usingefanya,kumbe haikuwa sheria ni vitisho tu!siku hizi watu wanafanya mambo kwa ushauri wa kisheria so nina hakika cdm wanajua wanachokifanya!ndoto yangu ni kuona bendera za taifa ndio zinapepea ktk mikutano ya kampeni na si za chama kama tuonavyo marekani!
 
btw huo ni wimbo wa taifa sio wimbo wa serikali,kuna tofauti kati ya taifa na serikali,naweza kutengeneza nguo nikaweka bendera ya taifa lakini sio nembo ya serikali,cha taifa kinamhusu kila aliye mtanzania kutumia!chadema ni watanzania,wangeutumia wimbo huo chama cha odm cha kenya hapo ndio hatua zingechukuliwa kwa vile si watanzania!
 
wewe hujaona watu wamevaa bendera ya Taifa ama huja sikia remix ya wimbo wa Taifa je, wimbo wenyewe wa Taifa hujui kama ni remix? amka wewe usinziaye uangaziwe

Mimi wimbo niujuao na ndio ambao hutumika tangu nilipoanza kujitambua ndio huu niusikiao hadi leo hii katika matukio husika hakuna mabadiliko ya maneno yalopungua wala kuongezeka, kwa huo mwingine naona ni ingizo jipya na bado hujalitambulisha kitaifa; kuhusu bendera kuna mfano wa rangi za bendera na bendera hucka"
 
Matumizi mabaya ya mali za Serikali kwanza anza na chama kilichoko madarakani otherwise akili yako inaonekana tu kama nazi za pale magogoni

MODs, mnaona matusi hayo? hafai kuwa banned huyo kweli. Anafanisha watu wa Ikulu na nazi.
 
Ni kweli kwamba wimbo wa Taifa ni mali ya watanzania lakini mbona hujasema kwa upande wa vyama vya siasa, je vinaruhusiwa kutumia? Kwa upande wangu ninatambua kuwa wimbo wa taifa ni moja ya alama za kitafa (National symbols) zingine zikiwa ni Nembo (Court of arms) na Bendera (National flag). Kama ambavyo huwezi kuona bendera ya taifa ikipepea katika ofisi za vyama vya siasa hasa ambavyo havijaunda serikali ndiyo inavyotakiwa kuwa hata kwa wimbo wa taifa.

kwa akil yako wewe hujui kuwa serikali inaundwa na vyama vya siasa vyenyewe?Ikiwemo mashine chadema inayotumia wimbo wetu wa taifa kwa raha zake kama haki yake?Ccm acheni kufikiria pafupi na wivu wenu mtaumia kwa kiholo!
 
Tuacheni ushabiki wa kisiasa; kwa kuzingatia elimu tulonazo matumizi ya wimbo wa Taifa sina shaka kila mmoja anayafaham; sidan kama chama binafsi kinaruhusiwa kutumia wimbo wa Taifa kwa sababu zao tofauti si CCM wala CDM labda uwe ni utaratibu mpya na kama ndivyo basi tunakoelekea tutaanza kuutumia hadi kwenye kumbi za starehe na kama haitoshi ataibuka mtu atataka aufanyie remix na kuachia single yake; na mwingine (Njeree) ataibuka na bendera ya taifa ajifunge rubega akate kitaa la hasha tunapotoka"

tunaomba unukuu vifungu vya sheria kutoka kwenye katiba ya kidwanzi iliyoko tz kwa xaxa!Inasemaje kuhusu matumiz ya wimbo wa taifa azawaizi kaa quit!
 
MODs, mnaona matusi hayo? hafai kuwa banned huyo kweli. Anafanisha watu wa Ikulu na nazi.

kuna utofauti gani kati ya ile nazi na mwanamke au mwanaume anayefanya uzinzi aafu anakanusha kuwa siyo malaya? You are weak,thats all! Unataka watu wajue kwamba unaweza kwa maneno? Actions matters more.
 
MODs, mnaona matusi hayo? hafai kuwa banned huyo kweli. Anafanisha watu wa Ikulu na nazi.

Imekuuma! Matusi unayajua kweli wewe? Kama inakukera ipotezee wewe mwenyewe, au uisome ukiwa umeziba maskio! After all uliyemnukuu hajatamka neno Ikulu, wewe ndo unataka kutukana watu wa Ikulu.
 
Ni kweli kwamba wimbo wa Taifa ni mali ya watanzania lakini mbona hujasema kwa upande wa vyama vya siasa, je vinaruhusiwa kutumia? Kwa upande wangu ninatambua kuwa wimbo wa taifa ni moja ya alama za kitafa (National symbols) zingine zikiwa ni Nembo (Court of arms) na Bendera (National flag). Kama ambavyo huwezi kuona bendera ya taifa ikipepea katika ofisi za vyama vya siasa hasa ambavyo havijaunda serikali ndiyo inavyotakiwa kuwa hata kwa wimbo wa taifa.

Sasa mkuu kama umetambua kuwa ni National symbol ulitaka nani autumie sasa? ulitaka kila chama uwe na wimbio wake kama timu za mpira au??

Vyama vya siasa vimeanzishwa na wanyama au binadamu ambao ni wananchi wa Tanzania


 
Tuacheni ushabiki wa kisiasa; kwa kuzingatia elimu tulonazo matumizi ya wimbo wa Taifa sina shaka kila mmoja anayafaham; sidan kama chama binafsi kinaruhusiwa kutumia wimbo wa Taifa kwa sababu zao tofauti si CCM wala CDM labda uwe ni utaratibu mpya na kama ndivyo basi tunakoelekea tutaanza kuutumia hadi kwenye kumbi za starehe na kama haitoshi ataibuka mtu atataka aufanyie remix na kuachia single yake; na mwingine (Njeree) ataibuka na bendera ya taifa ajifunge rubega akate kitaa la hasha tunapotoka"

Skafu ya Mwigulu Nchemba ni bendera ya Tanzania, mateja wanapenda sana kuvaa bendera ya Tz, wanaoitakia mema nchi hawaAchi kuiombea nchi kwa kuimba wimbo Mungu ibariki Tanzania.

Kweli kuna tatizo la kifikra kuwa mwenye hati miliki ya nchi hii ni CCM na wanachama wake. Hao wamejitahidi sana watu wengine wasiujue wimbo wa Taifa, hususan kupitia mashule na shughuli zingine za wananchi.

ELIMU YA KWANZA YA URAIA NI UELEWA WA KUWA NCHI HII NI YETU SOTE NA KILA KITU KILICHOPO, SI YA CCM NA WANACHAMA WAKE PEKEE
 
Matatizo ya kuclem mambo hayakuanzia apa ni toka enzi za sekondari kama sio Shule za msingi
 
Ni kweli kwamba wimbo wa Taifa ni mali ya watanzania lakini mbona hujasema kwa upande wa vyama vya siasa, je vinaruhusiwa kutumia? Kwa upande wangu ninatambua kuwa wimbo wa taifa ni moja ya alama za kitafa (National symbols) zingine zikiwa ni Nembo (Court of arms) na Bendera (National flag). Kama ambavyo huwezi kuona bendera ya taifa ikipepea katika ofisi za vyama vya siasa hasa ambavyo havijaunda serikali ndiyo inavyotakiwa kuwa hata kwa wimbo wa taifa.

hata hiyo bendera ni mali ya taifa si ya chama wa viongozi wa serikali peke yao.
 
watoto shuleni wanaimba kila siku kama mali yao na wewe nakushauri ukitaka kufanya jambo lolote linalowajumuisha watu wa aina mbalimbali basi, kama vile dini tofauti anza tu kwa wimbo wa taifa, usisubiri uwe rais kwani hutapata nafasi hiyo!!!!
 
...............................

Kweli kuna tatizo la kifikra kuwa mwenye hati miliki ya nchi hii ni CCM na wanachama wake.

Kimsingi mie siko mbali nawe kwamba hakuna mwenye hati miliki ya wimbo wa Taifa zaidi ya Watanzania sote kwa ujumla hyo ni sawa kabisa lkn Je kwa kuzingatia Elimu ya Uraia tulonayo tangu shule ya msingi ni mazingira yapi nyimbo hizo hutumika?
 
tunaomba unukuu vifungu vya sheria kutoka kwenye katiba ya kidwanzi iliyoko tz kwa xaxa!Inasemaje kuhusu matumiz ya wimbo wa taifa azawaizi kaa quit!

Siijui katiba ya JMT ndio maana kwenye comment yangu umeona sijaigusia suala la kisheria mie nimechukulia uelewa wa kawaida tu nilonao kulingana na elimu yangu nloipata tangu shule ya msingi; kama mwenzangu wajua kifungu waeza shirikisha Umma ndiyo maana halisi ya kuwa hapa sio kutoa kauli za kejeli na kutimuana kama wanaCUF
 
Back
Top Bottom