Haya si maandamano ya amani, hizi ni vurugu sasa

Ukweli usiopingika, Wazungu hawawezi kumwacha Mwafrika (awe USA au Afrika) aendeleze maisha yake kama anavyotaka/kupenda kwa sababu tu ya kujiona wao ni bora kuliko ngozi nyeusi. Kitu ambacho wazungu wamekikumbatia ni kuona Waaafrika wanatoa unyenyekevu kwao no matter what.
Viongozi wao sasa wanatoa machozi ya mamba tu. Huwezi kuligundua hilo kama wewe bado upo ule ulimwengu wa tatu.
ukweli mchungu huu.....
 
hakika nakwakupitia hizi kauli zako nidhahir shahir kabisa kama hao wauaji ndio chanzo cha hizi vurugu kwamaana bilayawao kumdhulumu yule jamaa kwakumuuqa wala yasingetokea haya yanayotokea huko US muda huuTatizo nikwamba tuna angalia hizi vurugu bila yakuangalia chanzo chavurugu nikipi


:-siungi mkono vurugu zinazoendelea US ila naunga mkono watu kudai haki zao nakuna wakati kwakupitia diplomasia haki hua haipatikani mpaka itumike nguvu yaziada ijapokua sio vyema kufanya hv.....

Nani anayepinga haki ya kikatiba [ya Marekani] ya watu kuandamana kwa amani?

Majitu yameenda kuvunja milango ya Bistro Niko, wamevunja duka la Dior, wamevamia supermarkets na kuiba vitu...

Hakuna mtu mwenye haki ya kufanya uhalifu. Si polisi, si raia.

Uhalifu ni uhalifu tu. Na uhalifu mmoja hauhalalishi uhalifu mwingine.
 
Si CNN tu naona Fox News nao wakiwa on-air wamekutana pia na msala wa kuvamiwa na waandamanaji wenye hasira kali wakiwa DC.

Wamemwagiwa maji, wamenyang'anywa vifaa na kuharibiwa.

Ila inaonesha local media zimekuwa mstari wa mbele kuripoti haya maandamano. Zimeonesha determination kubwa.

Ila wale waandamanaji wa jana pale karibu na White House walikuwa na adabu 😀.

Hawakatazwi kuandamana. Na hawapangi cha kusema.

Ila, kuna perimeter ambayo hawaruhusiwi kuivuka na hilo waliliheshimu.

Wale jamaa wa Secret Service kamwe hawawezi kui abandon White House. Hawana utani na mtu.

Wale waandamanaji jana wangekiuka masharti ya Secret Service, wangejuta na hakuna ambaye angewaonea huruma.
 
Nani anayepinga haki ya kikatiba [ya Marekani] ya watu kuandamana kwa amani?

Majitu yameenda kuvunja milango ya Bistro Niko, wamevunja duka la Dior, wamevamia supermarkets na kuiba vitu...

Hakuna mtu mwenye haki ya kufanya uhalifu. Si polisi, si raia.

Uhalifu ni uhalifu tu. Na uhalifu mmoja hauhalalishi uhalifu mwingine.
Haki yakikatiba yakufanya maandamano kwaamani nihaki yao nawala hamna anaepinga

Kuhusiana nasuala lakuvamia hizo sehem hao wanavamia sababu yanjaa zinazo wakabili

US kunawatu wanamaisha magumu sana nandio hao wanaotaka kuyatoa hayo maandamano katika mkondo wake ulivyokua awali

Mwisho:-US wanafiq nawashenzi sana maandamano yalioanza katika mataifa yakiarabu yalianza kama haya yakaja yakageuka ghasia lakini waliendelea kuyaunga mkono bila kujali mpaka yakazaa vita leo zamu yao ijapokua hawatafikia walipofikia WAARABU angalia wanavyoyaunga mkono maandamano ya HONG KONG pale yaamani mpaka yanakuja VURUGU hakuna anaeunga mkono VURUGU kwenye kibodi ila kama unataka haki yako ambayo unadhulumiwa maranyingi nilazma utumie NGUVU kama wanavyofanya BLACK US


US inatakiwa ionje ladha yamaandamano wanayoyaunga mkono katika mataifa yawatu yanayopelekea hasara namauaji navita
 
Haki yakikatiba yakufanya maandamano kwaamani nihaki yao nawala hamna anaepinga

Kuhusiana nasuala lakuvamia hizo sehem hao wanavamia sababu yanjaa zinazo wakabili

US kunawatu wanamaisha magumu sana nandio hao wanaotaka kuyatoa hayo maandamano katika mkondo wake ulivyokua awali

Mwisho:-US wanafiq nawashenzi sana maandamano yalioanza katika mataifa yakiarabu yalianza kama haya yakaja yakageuka ghasia lakini waliendelea kuyaunga mkono bila kujali mpaka yakazaa vita leo zamu yao ijapokua hawatafikia walipofikia WAARABU angalia wanavyoyaunga mkono maandamano ya HONG KONG pale yaamani mpaka yanakuja VURUGU hakuna anaeunga mkono VURUGU kwenye kibodi ila kama unataka haki yako ambayo unadhulumiwa maranyingi nilazma utumie NGUVU kama wanavyofanya BLACK US


US inatakiwa ionje ladha yamaandamano wanayoyaunga mkono katika mataifa yawatu yanayopelekea hasara namauaji navita
Hata haueleweki!!
 
Aisee wewe bwege kweli, umewahi kufika USA na kuyaona hayo unayoandika hapa
Toa ujinga wako wa ki CCM hapa, Nimefika Marekani mwaka jana na nilibahatika kutembelea, Alaska, Portland, New York City, Milwaukee na Orlando, Marekani hakuna maisha magumu wewe, kaa huko Tandale na tabu zako
Wewe itakuwa ni likapuku ukakutana na saizi zako ukaona wanaishi maisha mazuri... Ndo hao wanaofanya vurugu sasa
 
Mbona Povu jingi sana

Kwani kufika kwako Marekani kumekufanya upinge data za kitaalam za kiuchumi ambazo zipo hata kwenye mitandao?

Aisee wewe bwege kweli, umewahi kufika USA na kuyaona hayo unayoandika hapa
Toa ujinga wako wa ki CCM hapa, Nimefika Marekani mwaka jana na nilibahatika kutembelea, Alaska, Portland, New York City, Milwaukee na Orlando, Marekani hakuna maisha magumu wewe, kaa huko Tandale na tabu zako
 
Ukweli usiopingika, Wazungu hawawezi kumwacha Mwafrika (awe USA au Afrika) aendeleze maisha yake kama anavyotaka/kupenda kwa sababu tu ya kujiona wao ni bora kuliko ngozi nyeusi. Kitu ambacho wazungu wamekikumbatia ni kuona Waaafrika wanatoa unyenyekevu kwao no matter what.
Viongozi wao sasa wanatoa machozi ya mamba tu. Huwezi kuligundua hilo kama wewe bado upo ule ulimwengu wa tatu.
Ni kweli. Ila mwafrika anateseka zaidi akiwa chini ya mwafrika mwenzake kuliko mzungu. Ndio maana pamoja na ubaguzi tunaofanyiwa na watu weupe still tunakimbilia kwao. Chukua mfano tu hapo South Africa
 
Aisee wewe bwege kweli, umewahi kufika USA na kuyaona hayo unayoandika hapa
Toa ujinga wako wa ki CCM hapa, Nimefika Marekani mwaka jana na nilibahatika kutembelea, Alaska, Portland, New York City, Milwaukee na Orlando, Marekani hakuna maisha magumu wewe, kaa huko Tandale na tabu zako

Honestly Marekani hamna maisha magumu kama huyo jamaa anavyosema. Ukijiweka vizuri kidogo tu ukapambana unatoka.
 
Back
Top Bottom