Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
ndoa nyingi siku hizi hazidumu kwa muda mrefu .Ninavyodhani tatizo lipo kwenye hatua ya uchumba.Swali langu ni hili:Ni mambo gani ya msingi kabisa mtu mme au mke anatakiwa kuyafahamu au kuyazingatia pindi atafutapo mwenza au mchumba?.AKSANTE