Haya sasa hawa ndo ACACIA!

Kipapatiro

JF-Expert Member
May 18, 2017
1,129
1,497
Wanabodi kuna hiyo kitu hapo. Je, tutachomoka wakituletea hao wataalamu kwenye mazungumzo?
95b74b177c2be5a1b1edae75c7117160.jpg
 
Lete CVs zao tuwajue. Mlianza kutabiri Acacia kukimbilia mahakamani, mkashindwa. Sasa mmehamia kwenye psychological warfare, Nakuhakikishia mamluki ninyi mtashindwa pia.
Hatuwezi kuwa na akili moja ndugu yangu! Yaani unamshangilia MTU ambaye wakati mikataba inasainiwa anashangilia. Dah hii Tanzania tuna safari ndefu sana
 
WA TZ bhn nchi ya kwenu, Mali za kwenu, Acacia wako kwenu, Wameiba mali yenu, Nashangaa sana mnavyosambaza woga kwa wananchi., Ili iweje..?? Kama mtu kaamua na kasema anaweza mpeni walau support bhas....

Sipati picha km TZ leo hii ikiingia vitani sidhani kama kutakua na wazalendo wa kufia nchi hii....!?? Yaan hatuna umoja hata kidogo..!! Muda mwingine hua naona bora chama kimoja tu kingebaki, Upinzani walifanya vizuri lkn kwa hii sumu walowapa wananchi nawalaumu sana..!!
 
Dawa ya hao watu ni kujikita kwenye hoja, watu wetu wasikubali kuingiza maswala ya democrasia, utawala wa sheria,ukimwi,umasikini, n.k kwenye mjadala.

Hoja ni moja tu wamekuwa wana underestimate kiwango cha dhahabu na madini mengine yaliyo kwenye mchanga wanaosafirisha.

Na ikiwezekana njia ya kwanza ya kupima kiwango hicho iwe ni ile iliyotumiwa na akina profesa mruma na osolo.

Kama watataka itumike njia ingine tuite warusi waverify accuracy yake.
 
Dawa ya hao watu ni kujikita kwenye hoja, watu wetu wasikubali kuingiza maswala ya democrasia, utawala wa sheria,ukimwi,umasikini, n.k kwenye mjadala.

Hoja ni moja tu wamekuwa wana underestimate kiwango cha dhahabu na madini mengine yaliyo kwenye mchanga wanaosafirisha.

Na ikiwezekana njia ya kwanza ya kupima kiwango hicho iwe ni ile iliyotumiwa na akina profesa mruma na osolo.

Kama watataka itumike njia ingine tuite warusi waverify accuracy yake.
Safi sana. Umeongea vema mwanangu. Njoo kwa tumbo hapa nikuyoe lunch
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom