LiverpoolFC, ukweli ambao wengi hawataki kuukubali ni kuwa katika hali ya sasa kwenye taifa letu kuna vitu visivyowezekana kabisaaa...!
Hapana, orodha ni ndefu lakini bottom line ni kwamba CCM na uhalifu ni kama mapacha, kama unachukia uhalifu huwezi kuipenda CCM, period.
- kudai unaipenda Tanzania huku unaitetea CCM, huo ni uwongo na unafiki.
- kudai unapiga vita rushwa huku unaifagilia CCM, huo ni ufisadi na uwizi.
- kuhubiri amani na utulivu huku unaisifia CCM, huo ni ujambazi na uuaji.
- kujiita mzalendo na huku umeikumbatia CCM, huo ni usaliti na uhaini.
Mi huwa natamani kale kakikao kao ka Dodoma anapoingia kilaza huku akipiga-piga makofi kalipuke! Wafe!
wote mnaichukia, that includes me.
Je badala ya kuandika humu JF ambapo ni watanzania wachache sana labda mil 1 kati ya 40 wenye uwezo wa kusoma, tunafanya nini (physicaly) kurihisha chuki na hasira zetu dhidi dhalimu huyu!?
LiverpoolFC no offense my brother lakin ka hali halisi ya TZ inaezekana kwa family yenu ni asilimia moja tu ndo anaweza tumia inteqnet na kujieleza, Je nani atawasemea the rest!? Muda ni sasa
kama wewe una uwezo wa kumiliki gari na bdo unaona hali ngumu, niambie kuhusu hawa
1. Wasomi waloko vijiweni
2. Wakulima wasolipwa sahihi
3. Mahouseboys/girls
4. Wafungwa
5. Underpaid employees
6. Wagonjwa, walemavu
7. Watanzania
2015 ni mbali sana, muda ni leo tuwatoe leo. Ajali na majanga hayatangoja mpaka 2015 spika abadilishwe
Wote wanayoipenda ni wanafiki kwani moyoni mwao wanajua ukweli ila wanaganga njaa.
ikitokea umempenda adui yako halafu yeye hakupendi itakuwaje kama maadui wangependana watu wasingejilinda wala kujihami na naamini hata nchi zisingelikuwa na majeshi maana tayari zinapendana na adui zao.msilete injili kwenye maisha ya watu.raha ya upendo uwepo pande zote.Mpende jirani na adui yako alisema Mwanafasafa mmoja miaka kama 2000 iliyopita.
Natamka toka nafsini Mwangu!
Naichukia chama tawala mpaka natamani leo hii mwaka 2015 iwe ndiyo kesho asubuhi na nione jeuri yao ikogo wapi kwa hali tuliyonayo kwa sasa Tanzania yetu!
Nasema tena naichukia ccm mpk na kesho naichukia!
Ni hayo tu wanaJF wenzangu!
Jioni Njema!
Natamka toka nafsini Mwangu!
Naichukia chama tawala mpaka natamani leo hii mwaka 2015 iwe ndiyo kesho asubuhi na nione jeuri yao ikogo wapi kwa hali tuliyonayo kwa sasa Tanzania yetu!
Nasema tena naichukia ccm mpk na kesho naichukia!
Mkuu kiukweli hoja yako haijitoshelezi kwa kuchukua tu, ungejazia jazia sababu za wewe kufikia hapo yaani kama ni pilau ingekuwa ina kachumbari na ndizi kabisa tehe tehe tehe.