maranyingi madini mpaka uyaone yanafanana sana, ila hayo yako yanafanana naJe ni madini gani na yanaweza kuwa na thamani ya shilingi ngapi? View attachment 1054960
Sent using Jamii Forums mobile app
hayo ni GarnetJe ni madini gani na yanaweza kuwa na thamani ya shilingi ngapi? View attachment 1054960
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubani huo ule ambao hutumia waganga kufukizia pale wanapo wadanganya.Je ni madini gani na yanaweza kuwa na thamani ya shilingi ngapi? View attachment 1054960
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hili je?hayo ni Garnet