Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
hakuna msafi aliyeko CCM ikiwa ni pamoja na Lowasa wako.
Nakubali Lowassa ni mchafu nadhani hukumaliza kusoma za sredi.hakuna msafi aliyeko CCM ikiwa ni pamoja na Lowasa wako.
Teeeeh teeeeeeeh teeeeeeeeeeeeh! yaani lakini jamani watu humu jamvini mna mambo! Nimecheka sina mbavu maana mie nilishamwona live akitembea!ulishamwona live tena akiwa anatembea?????
DU!anawafurahia anapokuwa nao anawaponda anapowapa mgongo!nimependa hizi picha hemu ziongezee nyingine maana 6 amekua anazuga ana uhasama na mafisadi.Mazuri......
Anacheka na Magamba Super pamoja na yote
wewe ni jinga sana
umesoma nilipoandika My take:LOWASSA NA SITTA ni walewale???
Nani kakwambia JF member ni wa kaskazini tu????
je CDM haikumtaja Lowassa kwenye list of shame????? SITTA kagundulika juzijuzi kwamba ni mtu wa namna gani ni mnafiki 100%
Umma hauna chuki binafsi na SITTA ila sitta amejimaliza mwenyewe na sasa 2015 hatagombea urais kukwepa aibu
Hapo red:Mfa maji haachi kutapatapa huna zuri ulijualo juu ya SITTA zaidi ya chuki zake dhidi ya Lowassa (kiti cha uwazir mkuu) kutufanya leo tulipishwe mamilioni na DOWANS. (sitta hakuizima Dowans bungeni?????????????????????????????????????????)
una akili za kugundishiwa tutokee hapa
acheni GUBU na wivi wa NYEGERE
amejenga kiwanja cha mwalimu nyerere akiwa waziri wa ujenzi bila kuchota vijisent