Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,742
1. Anakuja kwako anaazima gari ikiwa na robo tank ya mafuta anatumia week 3 anakuja irudisha taa inawaka na amekwangua ubavuni. Unarudi home unaambiwa tu xxx karudisha gari.
2. Jamaa anakopa kwako 300,000 anasema anashida ya dharura mwezi wa 4 huu hajarudisha ila kila weekend anapiga mitungi na unakuja kugundua hata ile pesa alikopa ili akagegede demu na kupiga mitungi.
3. Mshkaji kashakutambulisha kwa mademu zake kama 10 hivi wote kawaambia wewe ndo rafiki yake wakufa na kuzikana.kifupi wewe ni ndugu yake. Wale mademu wanakuchukulia wewe shem wao. Wakifumaniana kila mtu kwa nafasi yake anakupigia akilia akitaka ukamkanye rafikiyo anachezea maisha yake. Hujui umtetee nani au ukamzie nani.
4. Una rafiki mbele ya demu mpya siku hiyo anakugeuzia kibao anamwambia demu wewe ni dereva wake so anakutuma ukaongeze pesa zipo kwenye gari. Na wewe unajua jamaa ndo umemtoa out naye katumia fursa hiyo kumtoa demu out ambaye hajampata bado. Unatoka nje halafu huelewi ufanye nini.
5. Unatoka out na mshkaji ukiwa unalipia sababu kaona una pesa mbele za watu anakwambia "big nipe 30,000 mara moja tukienda hapo voda pesa nakurudishia" hakurudishii.
6. Mshkaji anachangisha harusi michango mwaka sasa pesa zenu ameshakula anazunguka zunguka mwisho mnapombana kuhusu harusi anaangua kilio kikubwa. Kuwa mchumba wake alifariki 5 months ago. Ndio maana siku hizi amechanganyikiwa anakunywa sana pombe amsahau.
7. Unakuwa na mshkaji ila unamwona kabisa anamwangalia demu wako kwa jicho la matamanio.
8. Unakuwa na mshkaji yeye muda wote mkikaa anazungumzia mademu na kukupa stories za mikasi na mitungi.
9. Una mshkaji ambaye ni wa long time kipindi ila bado anataka muishi kama teenagers anataka sometime aazime miguu yako mikal i(viatu) au pamba kali akawakoge kitaa.
10. Una mshkaji unamtambulisha kwa new girfriend anaropoka "daaah we sikuwezi jana umenitambulisha ngoma nyingine kali imesimama leo tena. Huu mwezi wako kaka watoto kama wote wako" anamgeukia girlfriend wako "shem mpya karibu sana kwetu sisi wazee wa mitungi na watoto wakali"
Na wewe unaweza ongezea aina ya rafiki vimeo ambao umewahi kuwa nao.
2. Jamaa anakopa kwako 300,000 anasema anashida ya dharura mwezi wa 4 huu hajarudisha ila kila weekend anapiga mitungi na unakuja kugundua hata ile pesa alikopa ili akagegede demu na kupiga mitungi.
3. Mshkaji kashakutambulisha kwa mademu zake kama 10 hivi wote kawaambia wewe ndo rafiki yake wakufa na kuzikana.kifupi wewe ni ndugu yake. Wale mademu wanakuchukulia wewe shem wao. Wakifumaniana kila mtu kwa nafasi yake anakupigia akilia akitaka ukamkanye rafikiyo anachezea maisha yake. Hujui umtetee nani au ukamzie nani.
4. Una rafiki mbele ya demu mpya siku hiyo anakugeuzia kibao anamwambia demu wewe ni dereva wake so anakutuma ukaongeze pesa zipo kwenye gari. Na wewe unajua jamaa ndo umemtoa out naye katumia fursa hiyo kumtoa demu out ambaye hajampata bado. Unatoka nje halafu huelewi ufanye nini.
5. Unatoka out na mshkaji ukiwa unalipia sababu kaona una pesa mbele za watu anakwambia "big nipe 30,000 mara moja tukienda hapo voda pesa nakurudishia" hakurudishii.
6. Mshkaji anachangisha harusi michango mwaka sasa pesa zenu ameshakula anazunguka zunguka mwisho mnapombana kuhusu harusi anaangua kilio kikubwa. Kuwa mchumba wake alifariki 5 months ago. Ndio maana siku hizi amechanganyikiwa anakunywa sana pombe amsahau.
7. Unakuwa na mshkaji ila unamwona kabisa anamwangalia demu wako kwa jicho la matamanio.
8. Unakuwa na mshkaji yeye muda wote mkikaa anazungumzia mademu na kukupa stories za mikasi na mitungi.
9. Una mshkaji ambaye ni wa long time kipindi ila bado anataka muishi kama teenagers anataka sometime aazime miguu yako mikal i(viatu) au pamba kali akawakoge kitaa.
10. Una mshkaji unamtambulisha kwa new girfriend anaropoka "daaah we sikuwezi jana umenitambulisha ngoma nyingine kali imesimama leo tena. Huu mwezi wako kaka watoto kama wote wako" anamgeukia girlfriend wako "shem mpya karibu sana kwetu sisi wazee wa mitungi na watoto wakali"
Na wewe unaweza ongezea aina ya rafiki vimeo ambao umewahi kuwa nao.