lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Haya ni maajabu makubwa kuliko yale maajabu ya yesu kutembea juu ya maji yaliyotokea nchini tanzania,haya ni maajabu zaidi ya yale ya yesu kutembea juu ya maji,tulioambiwa wametusababishia wizi wa triloni 108,wanakula bata mtaani lkn,gazeti limepewa adhabu kali kama ya mauwaji