Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,357
- 11,503
1. Mama mkwe au wifi kujichukulia nafas ya mke ndani ya nyumba.sehem nyingine unakuta mpaka anapanga bajeti au pesa ya matumizi anataka aachiwe yeye. Unakuta mama mkwe au wifi anataka yeye ndo amwandalie mume chakula mezani au ampikie
2. Mama mkwe au wifi anataka yeye anachotaka ndo kifanyike. Wengine hufikia hata hatua ya kuwaadhibu watoto au kumfukuza mfanyakazi ikiwa hawajampenda.
3. Mama mkwe au wifi anataka kaka yake aoe mke mwingne amwache huyu ikiwa hawajampenda. Na nlishuhudia mama mmoja wa kutoka knjaro akishiriki kumwachanisha mtoto wake wa kiume na mke ambaye walishazaa watoto wakubwa tu wawili. Mama mkwe akawa hatak kukaa knjaro anajidai anaumwa ili aje dar.akija dar yeye ndo anaishika nyumba mkwewe anabak tu kama pambo. Kumbe hakutaka mwanawe aoe bint ambaye si mchaga.alifanikiwa kuwatenganisha
4. Mawifi huwa wanaamini wewe mke huna chako pale kwa kaka yao.wao ndo wanasauti zaidi. Hivyo hutaka kutawala na hata watoto wako,house gal wako watakuwa chini yao.huona wivu sana, huwa na uhasidi mioyoni mwao. Na wengine unaweza kuta miaka nenda rudi hawajaolewa au waliolewa wakaachika wanakuja au anakuja kuishi kwenu. Au pengine kamaliza chuo au shule ndo anakuja kutafutia kazi kwenu.
Ushauri: mwanaume mama yako akija kwako asikae zaidi ya week tatu kama hana tatizo then arud kwake. Dada zako wakija pia wasiweke kituo waje wasalimie waondoke. Na waambie kuwa pale ni nyumbani kwa mkeo. So kila wanachotaka wawasiliane na mkeo.ili mradi uwe na uhakika kuwa mkeo hawatesi au hamtesi dada yako.
Lakini kumbuka nyumban hapo unatakiwa uishi wewe na mkeo na watoto wenu basi. Wageni waje watembelee na warudi makwao.wasije nao wakaacha baba na mama zao wakaambatana nanyi.
Alamsiki.
2. Mama mkwe au wifi anataka yeye anachotaka ndo kifanyike. Wengine hufikia hata hatua ya kuwaadhibu watoto au kumfukuza mfanyakazi ikiwa hawajampenda.
3. Mama mkwe au wifi anataka kaka yake aoe mke mwingne amwache huyu ikiwa hawajampenda. Na nlishuhudia mama mmoja wa kutoka knjaro akishiriki kumwachanisha mtoto wake wa kiume na mke ambaye walishazaa watoto wakubwa tu wawili. Mama mkwe akawa hatak kukaa knjaro anajidai anaumwa ili aje dar.akija dar yeye ndo anaishika nyumba mkwewe anabak tu kama pambo. Kumbe hakutaka mwanawe aoe bint ambaye si mchaga.alifanikiwa kuwatenganisha
4. Mawifi huwa wanaamini wewe mke huna chako pale kwa kaka yao.wao ndo wanasauti zaidi. Hivyo hutaka kutawala na hata watoto wako,house gal wako watakuwa chini yao.huona wivu sana, huwa na uhasidi mioyoni mwao. Na wengine unaweza kuta miaka nenda rudi hawajaolewa au waliolewa wakaachika wanakuja au anakuja kuishi kwenu. Au pengine kamaliza chuo au shule ndo anakuja kutafutia kazi kwenu.
Ushauri: mwanaume mama yako akija kwako asikae zaidi ya week tatu kama hana tatizo then arud kwake. Dada zako wakija pia wasiweke kituo waje wasalimie waondoke. Na waambie kuwa pale ni nyumbani kwa mkeo. So kila wanachotaka wawasiliane na mkeo.ili mradi uwe na uhakika kuwa mkeo hawatesi au hamtesi dada yako.
Lakini kumbuka nyumban hapo unatakiwa uishi wewe na mkeo na watoto wenu basi. Wageni waje watembelee na warudi makwao.wasije nao wakaacha baba na mama zao wakaambatana nanyi.
Alamsiki.