Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Life is funnyMAISHA ya DADA zetu FACEBOOK na INSTAGRAM
Wiki ya kwanza
Status:"Location flani amazing"
"Having fun"
"I love my life"
"sijali mnayosema nafanya nachotaka"
BAADA YA MIEZI MIWILI
STATUS:"Binadamu wengi ni wasaliti"
"trust nobody"
"Na hili nalo litapita"
BAADA YA MIEZI SITA
Status:"Yesu wewe ndio rafiki wa kweli"
"Bwana ndiye mchungaji wangu"
BAADA YA MIEZI TISA NA KIDOGO
STATUS: "Nakupenda mwanangu
Muulize mamaye anamfaham vzuri tuUsinikumbushe machungu mwenzenu mpaka leo nyumbani tunalea mtoto ambaye hata baba wa mtoto hajulikani
RevolutionEvolution
Endeleahahaha mi bado.nahave fun
ResolutionRevolution
Huyo revolution ndugu yake ni reproduction!Revolution
WanAingia na mbwembwe wavulana wanawapimia...wanarusha kete, wanamegwa kisha wanawapotezea..kumbe masikini na mimba walishadakishwa..kwa hiyo ndo huo mtiririko wa status unapokuwa unaendana na matukio
Ujakosea hahahahahaaaMAISHA ya DADA zetu FACEBOOK na INSTAGRAM
Wiki ya kwanza
Status:"Location flani amazing"
"Having fun"
"I love my life"
"sijali mnayosema nafanya nachotaka"
BAADA YA MIEZI MIWILI
STATUS:"Binadamu wengi ni wasaliti"
"trust nobody"
"Na hili nalo litapita"
BAADA YA MIEZI SITA
Status:"Yesu wewe ndio rafiki wa kweli"
"Bwana ndiye mchungaji wangu"
BAADA YA MIEZI TISA NA KIDOGO
STATUS: "Nakupenda mwanangu