SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
1. Wazanzibari ndio wanaonufakika zaidi na muungano kuliko wabara.
2. Viongozi wengi wa sasa hivi hawana maadili wengi ni wezi na wamejaa tamaa za madaraka.
3. Yeye ni Mzanzibari ila ameoa bara/Pangani Tanga na ana watoto 3.
4. Rais Mwinyi haujui Muungano kwa kuwa alizaliwa baada ya muungano.
5. Wanawake wakae nyumbani walee familia, majukumu ya ofisini waachiwe wanaume.
6. Marehemu Seif Sharif Hamad ndio alimchoma Jumbe na kupitia yeye/Maalim Seif ndioJeshi na Polisi yakawa mambo ya muungano kwa usalama wa Zanzibar.
7. Viongozi wote wapitie vyuo vya uongozi kama Kivukoni na Ihemi.
8. Kabla Karume hajauawa yalifanyika majaribio 11 ya kumuua.
Ameongea mengi sana...
NB: Mzee Shamte ndio katibu mkuu wa kwanza wa Afro Shiraz Party. Mzanzibar mwenye asili ya Pemba.
2. Viongozi wengi wa sasa hivi hawana maadili wengi ni wezi na wamejaa tamaa za madaraka.
3. Yeye ni Mzanzibari ila ameoa bara/Pangani Tanga na ana watoto 3.
4. Rais Mwinyi haujui Muungano kwa kuwa alizaliwa baada ya muungano.
5. Wanawake wakae nyumbani walee familia, majukumu ya ofisini waachiwe wanaume.
6. Marehemu Seif Sharif Hamad ndio alimchoma Jumbe na kupitia yeye/Maalim Seif ndioJeshi na Polisi yakawa mambo ya muungano kwa usalama wa Zanzibar.
7. Viongozi wote wapitie vyuo vya uongozi kama Kivukoni na Ihemi.
8. Kabla Karume hajauawa yalifanyika majaribio 11 ya kumuua.
Ameongea mengi sana...
NB: Mzee Shamte ndio katibu mkuu wa kwanza wa Afro Shiraz Party. Mzanzibar mwenye asili ya Pemba.