Haya ndiyo matokeo ya kuwafanya watu wasiongee!

Ngurubhe

JF-Expert Member
Jul 26, 2014
1,840
1,047
Serkali ya awamu ya tano imejitahidi sana kuthibiti watu kuongea ongea vitu mbalimbali.Na hasa kutoruhusu mikutano ya hadhara

Hii imepelekea watu wasiowaaminifu kujificha humo na kufanya yao kwa sababu wanajua hakuna wa kuwataja!.Na serkali ishajinasibu kuwa hakuna ubadhirifu wa fedha!

wanasaisa na hasa wapinzani wamekuwa wakiibua mambo rukuki hasa kwa sababu wamekuwa wakipewa nafasi ya kuongea.

Awamu hii imefanikiwa kuwanyamazisha kwa kutoruhusu mikutano ya Hadhara na mikutano mingine ya kujenga vyama ambayo kupitia kwayo mambo mbalimbali yamekuwa yakiibuliwa!.

Faida moja kubwa ya wapinzani ni kuibua mambo ambayo wasaidizi wa raisi wa huku chini wanayafanya.

Lakini kuwafanya wasiongee basi tunawafunika baadhi ya WAOVU kwa mwamvuli wa nia njema ya serkali;baadhi ya watu ambao rais anaweza asijue kama wanafuja fedha za umma kwani tayari tumeashaamini kuwa kila mtumishi ni mwema wakati ukiangalia mtumishi mmoja mmoja wapo wasiowaaminifu!.

Wapinzan ni kama referee,na serikali ni kama wachezaji.tukiwamyamazisha wapinzani ni sawa na kumwambia referee asipige filimbi hata akiona foul!

Kumbe basi Rais na serkali yake kama kweli anania ya kudhibiti ubadhilifu wa fedha,anatakiwa ajifunze kupitia hili la maji kama walivyosikika wabunge wakilalamika.Tusisubiri hadi lije kuongeleea bungeni kwenye kinga wakati watu wameshapata shida huku mtaani

Awaruhusu wapinzani wafanye mikutano ya hadhara,hao wapinzani wanapoongea atakuwa anachambua na kuwajua wasadizi wake huku chini wanafanya nini.Nia njema ya rais(serkali) haihalibiki kwa kuibuliwa uozo wa serkali katika eneo fulani!.
IMG_20180510_175550_429.jpg
 
Nadhani hata zile trillion 1.5 mipango ya kuziweka kwenye matumizi yasiyojulikana ingefichuliwa mapema kabla hazijatoweka zote.
Huu ni wakati wa washauri wa rais (kama wapo na wanasikilizwa na ushauri wao kufanyiwa kazi na mkuu) kumshauri tena juu ya hili la kuwaacha wapinzani waongee na kukosoa kwa Uhuru kabisa ili kupitia wao Rais aweze kujua mapema wapi pamepwaya badala ya kusubiria hadi madhara ya utendaji mbovu na ufisadi yaonekane.
Ajuwe wazi kuwa wapinzani huwa kama kioo cha serikali kujitadhmini juu ya utendaji wake na si kuwaona kama waovu ndani ya jamii. Vinginevyo ataonekana kuwa Rais asiyetaka wala kupenda uovu na makosa ya watendaji serikalini kuwekwa hadharani jambo ambalo ni kama kuungana na waovu na wahujumu hao wa maendeleo ya nchi yetu.
 
Serkali ya awamu ya tano imejitahidi sana kuthibiti watu kuongea ongea vitu mbalimbali.Na hasa kutoruhusu mikutano ya hadhara

Hii imepelekea watu wasiowaaminifu kujificha humo na kufanya yao kwa sababu wanajua hakuna wa kuwataja!.Na serkali ishajinasibu kuwa hakuna ubadhirifu wa fedha!

wanasaisa na hasa wapinzani wamekuwa wakiibua mambo rukuki hasa kwa sababu wamekuwa wakipewa nafasi ya kuongea.

Awamu hii imefanikiwa kuwanyamazisha kwa kutoruhusu mikutano ya Hadhara na mikutano mingine ya kujenga vyama ambayo kupitia kwayo mambo mbalimbali yamekuwa yakiibuliwa!.

Faida moja kubwa ya wapinzani ni kuibua mambo ambayo wasaidizi wa raisi wa huku chini wanayafanya.

Lakini kuwafanya wasiongee basi tunawafunika baadhi ya WAOVU kwa mwamvuli wa nia njema ya serkali;baadhi ya watu ambao rais anaweza asijue kama wanafuja fedha za umma kwani tayari tumeashaamini kuwa kila mtumishi ni mwema wakati ukiangalia mtumishi mmoja mmoja wapo wasiowaaminifu!.

Wapinzan ni kama referee,na serikali ni kama wachezaji.tukiwamyamazisha wapinzani ni sawa na kumwambia referee asipige filimbi hata akiona foul!

Kumbe basi Rais na serkali yake kama kweli anania ya kudhibiti ubadhilifu wa fedha,anatakiwa ajifunze kupitia hili la maji kama walivyosikika wabunge wakilalamika.Tusisubiri hadi lije kuongeleea bungeni kwenye kinga wakati watu wameshapata shida huku mtaani

Awaruhusu wapinzani wafanye mikutano ya hadhara,hao wapinzani wanapoongea atakuwa anachambua na kuwajua wasadizi wake huku chini wanafanya nini.Nia njema ya rais(serkali) haihalibiki kwa kuibuliwa uozo wa serkali katika eneo fulani!.
View attachment 772594
Ndio ukweli weww mwenyewe utafanyaje kazi za watu mil 60? Yeye kila kitu
 
Yaani magu hajajua kwamba tatizo liko wizarani na bado kwa kuagiza katibu mkuu awasimamie wataalam wa maji bado ndo anaongeza tatizo.

Inajulikana kwamba miradi ya maji nchi nzima pesa zake zimepigwa huko wizarani maana pesa haikusimamiwa na halmashauri.

Kwa maana hiyo watu wa wizara wamejilipa kupitia kandarasi feki na hovyo.

tatizo halipo kwa wataalam wa maji wilayani bali tatizo lipo wizarani
 
Yaani magu hajajua kwamba tatizo liko wizarani na bado kwa kuagiza katibu mkuu awasimamie wataalam wa maji bado ndo anaongeza tatizo.

Inajulikana kwamba miradi ya maji nchi nzima pesa zake zimepigwa huko wizarani maana pesa haikusimamiwa na halmashauri.

Kwa maana hiyo watu wa wizara wamejilipa kupitia kandarasi feki na hovyo.

tatizo halipo kwa wataalam wa maji wilayani bali tatizo lipo wizarani
Inabidi abadili mbinu maana ukali haina tija,watu wanapiga tu,awaogopi ukali,
 
Serkali ya awamu ya tano imejitahidi sana kuthibiti watu kuongea ongea vitu mbalimbali.Na hasa kutoruhusu mikutano ya hadhara

Hii imepelekea watu wasiowaaminifu kujificha humo na kufanya yao kwa sababu wanajua hakuna wa kuwataja!.Na serkali ishajinasibu kuwa hakuna ubadhirifu wa fedha!

wanasaisa na hasa wapinzani wamekuwa wakiibua mambo rukuki hasa kwa sababu wamekuwa wakipewa nafasi ya kuongea.

Awamu hii imefanikiwa kuwanyamazisha kwa kutoruhusu mikutano ya Hadhara na mikutano mingine ya kujenga vyama ambayo kupitia kwayo mambo mbalimbali yamekuwa yakiibuliwa!.

Faida moja kubwa ya wapinzani ni kuibua mambo ambayo wasaidizi wa raisi wa huku chini wanayafanya.

Lakini kuwafanya wasiongee basi tunawafunika baadhi ya WAOVU kwa mwamvuli wa nia njema ya serkali;baadhi ya watu ambao rais anaweza asijue kama wanafuja fedha za umma kwani tayari tumeashaamini kuwa kila mtumishi ni mwema wakati ukiangalia mtumishi mmoja mmoja wapo wasiowaaminifu!.

Wapinzan ni kama referee,na serikali ni kama wachezaji.tukiwamyamazisha wapinzani ni sawa na kumwambia referee asipige filimbi hata akiona foul!

Kumbe basi Rais na serkali yake kama kweli anania ya kudhibiti ubadhilifu wa fedha,anatakiwa ajifunze kupitia hili la maji kama walivyosikika wabunge wakilalamika.Tusisubiri hadi lije kuongeleea bungeni kwenye kinga wakati watu wameshapata shida huku mtaani

Awaruhusu wapinzani wafanye mikutano ya hadhara,hao wapinzani wanapoongea atakuwa anachambua na kuwajua wasadizi wake huku chini wanafanya nini.Nia njema ya rais(serkali) haihalibiki kwa kuibuliwa uozo wa serkali katika eneo fulani!.
View attachment 772594
upo sahihi kwa asilimia nyingi sana mkuu
 
Awamu ya nne ilitoa ruhusa ya watu kuongea, mbona hatukusikia kuhusiana na urasimu aliouongelea rais leo hii pale ikulu?.

Demokrasia inaweza kuwepo na wapigaji wakapiga kadri wanavyojisikia. Uhuru wa kujieleza waweza kuwepo na bado watu wakaendelea kusubiri vikao vya madiwani ili matatizo yao yaweze kupatiwa ufumbuzi.
 
Back
Top Bottom