Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
More on Baghdad bob:becky::becky:
Last edited by a moderator:
Nimesoma kwa mshangao sana hoja ya John Mnyika juu ya uamuzi wa CCM kusimamia ilani yake ya uchaguzi ambayo licha ya kuchaguliwa kihalali na wananchi mwaka 2010, utekelezaji wake utaleta mabadiliko katika maisha ya kawaida ya wananchi.
Bila shaka ni katika mtikisiko wa kukata roho kwa Chama mufilisi cha Chadema ndo maana viongozi wake sasa wana kurupuka kutoa matamko yasiyo na kichwa wala miguu katika kuhangaika kukata roho kwa kujidanganya kijinga tu kwamba wanaweza kuzuia nguvu ya timu mpya ya CCM ambayo bilashaka imewatia homa sana watani. Juhudi hizi ni sawa na kuzuia mafuriko kwa vidole..(poor Chadema, R.I.P Chadema).
Pengine tujaribu kutafakari maswali yafuatayo;
1. Ilani ya uchaguzi (kama wanafahamu maana yake) inayotekelezwa ni ya nani?
2. Nani anasimamia na nani anatekeleza Ilani ya uchaguzi ya chama kilichopo madarakani?
3.Ni lini mwenye ilani ana kagua utekelezaji wa ilani yake?...anasubiri miaka mitano? Anamuuliza nani hatua mbalimbali za utekelezaji ukiachilia mbali kwenda na kujionea mwenyewe hatua hizo?
4.Mtiririko gani wa mawasiliano kati ya chama tawala na serikali yake ili kupata mrejesho kwa wananchi?
...
si unaona alivyo mtupu!!!Kumbe Nape mapepe kasoma India? Vyuo vyenywe vingi uchochoroni.
Kumbe Nape mapepe kasoma India? Vyuo vyenywe vingi uchochoroni.
Mnyika ali acha chuo? unataka kutu aminisha kuwa kuacha chuo ni ujanja?
Mnyika ali acha chuo? unataka kutu aminisha kuwa kuacha chuo ni ujanja?
Nnauye Jr Kwanini UNA MATUSI? HAUJUI ULIKOTOKA??? MZEE MUSSA MOSES NNAUYE pia ALIKIMBIA SHULE???
Lakini alimudu kazi alizopewa zaidi ya AMBAO HAWAKUKIMBIA SHULE???
ACHA KU-JUDGE HUMAN BEING's is a SIN... WEWE SHUKURU CCM ilikusomesha INDIA wengine hawana BAHATI HIYO
SHAME ON YOU - INA MAANA UNAMTUKANA MZEE MUSSA MOSES NNAUYE --- KULI!!!!
Kama CCM waliwekeza katika kumsomesha mtu kama NAPE inadhihirisha ni kwa jinsi gani chama hicho kisivyokuwa na uwezo wa kupambanua mambo na kufanya maamuzi yaliyo sahihi. Chama makini hakiwezi kupoteza rasilimali zake kwa kumsomesha mtu wa aina hiyo vinginevyo ilikuwa ni kwa ajili ya kutoa shukrani/kulipa fadhila kwa baba yake. Hivi huko India alikuwa anasoma kweli ama ndiyo kuzuga ili na yeye aonekane kwenye kundi.