Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Wana JF;
Nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa original results kutoka katika vituo vya kupiga kura ambazo Mgombe wa CHADEMA Dr. Slaa na vijana wake walikuwa wanahakiki zinaonyesha kuwa Mgombea wa CCM Kikwete alipata 44.56% wakati Mgombea wa CHADEMA alipata 44.45%.
Matokeo haya ni pamoja na mchakachuo uliofanywa wa baadhi kupiga kura zaidi ya moja na kuweka katika ballot boxes bila kushtukiwa.
Chanzo changu cha habari kimenijulisha kuwa na faili lote la original results. Kama atanitumia basi bila ya shaka na mimi nitawabadikieni hapa.
Naomba kutoa hoja.
UPDATE 1:
Je haya ndiyo Matokeo Halisi (Original) yale ya majumuisho ya vituoni na yale ya NEC ??
UPDATE 2:
Waungwana, nimeongea tena na chanzo changu ambacho ndicho kilichonipatia taarifa hii. Matokeo yaliyoambatanishwa nimejulishwa ni yale ya utafiti wa ndani ambao ulifanywa kabla ya uchaguzi. Actual results nimeambiwa zikitolewa sasa hivi inaweza kusababisha kutoelewana.
Tuvute subira mpaka hapo taarifa ya uhakika itakapotolewa kutoka kwa wahusika.
SM
Nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa original results kutoka katika vituo vya kupiga kura ambazo Mgombe wa CHADEMA Dr. Slaa na vijana wake walikuwa wanahakiki zinaonyesha kuwa Mgombea wa CCM Kikwete alipata 44.56% wakati Mgombea wa CHADEMA alipata 44.45%.
Matokeo haya ni pamoja na mchakachuo uliofanywa wa baadhi kupiga kura zaidi ya moja na kuweka katika ballot boxes bila kushtukiwa.
Chanzo changu cha habari kimenijulisha kuwa na faili lote la original results. Kama atanitumia basi bila ya shaka na mimi nitawabadikieni hapa.
Naomba kutoa hoja.
UPDATE 1:
Je haya ndiyo Matokeo Halisi (Original) yale ya majumuisho ya vituoni na yale ya NEC ??
UPDATE 2:
Waungwana, nimeongea tena na chanzo changu ambacho ndicho kilichonipatia taarifa hii. Matokeo yaliyoambatanishwa nimejulishwa ni yale ya utafiti wa ndani ambao ulifanywa kabla ya uchaguzi. Actual results nimeambiwa zikitolewa sasa hivi inaweza kusababisha kutoelewana.
Tuvute subira mpaka hapo taarifa ya uhakika itakapotolewa kutoka kwa wahusika.
SM