Haya ndiyo makundi ya watanzania ambao ambao hawataipigia kura CCM mwaka 2020

Uchaguzi wa mwaka juzi ni upi?
Ninapata kifugumizi kidogo kutokana na namna watz wanacyoonekana kubadilika taratibu. kwa sasa inaonekana kuna kizazi kipya kinaingia kwenye siasa za tz ambacho utashi wake na uwezo wake wa kupima mambo unatofautiana na kizazi cha watu wazima walioko. Huu no mtaji mkubwa kwa wanasiasa wa upinzani, kama wanaweza kuyatambua matakwa ya vijana na kuyajengea hoja za kisiasa. Wana uwezo mkubwa wa kubadili upepo wa siasa zetu.
 
01: watumishi wa umma wote ,sababu mpaka sasa hawajapandishwa madaraja ,vyeo na mishahara wananyanyasika kazini bila hatia wanateseka uhakiki wa kila siku ambayo unawapa gharama kila kukicha.

02: wanafunzi wote wa vyuo vikuuu ,maana wamekoswa mikopo hivyo wengi wao kubaki nyumbani bila kazi yeyote ile hivyo hawatamani tena kuichagua ccm.

03: vijana 3000 walioajiriwa mwezi June 2016 na kusimamishwa kazi huku wamepewa mikataba ya kazi na kuanza kufanya kazi mfano walioajiriwa mahakamani ,mikoani nk mpaka sasa imepita miezi sita hawajui hatima yao kabisa hivyo ni jambo gumu kuwapigia ccm kura.

04: wahanga wa watetemeko la ardhi kagera .

05 : wamachinga wote wa kwenye majiji makubwa mfano Mwanza nk .

06: wakulima wanalia njaa lakini serikali haitoi hata misaada ya chakula .

07: wahitimu wa vyuo mbalimbali kwa sababu wamekoswa ajira kutokana na serikali kutoajiri na kusimamisha ajira mpaka sasa hakuna idara yeyote iliyeyote iliyotangaza ajira serikalini toka zisimamishwa zaidi ya kutoa matamko.

08: wahitimu wa ualimu kwa masomo ya Sanaa na walimu waliohitimu kwa ajili ya shule za msingi kubaguliwa kwenye ajira kutoajiriwa serikalini .

09: wananchi waliobomolewa nyumba zao na tanroad bila taarifa yeyote.

10: waandishi wa habari wote kutokana na kunyimwa Uhuru wa kuandika habari kwa ukombozi wa taifa letu.

11: wafanyabishara wote kutoka na kodi kupanda kiholela na mzunguko wa hela kuwa mgumu mtaani .

12: watumishi wa umma waliotumbuliwa wote hawatakuwa tayari kuwapigia ccm kura tena .

Ukweli uchaguzi wa 2020 ni mgumu zaidi ya ule wa mwaka juzi utakuwa mgumu kuliko chaguzi zote toka tupate Uhuru.
hahahahahahah......napita.tu.
hypothetical theory
 
wakulima wote pia kwan uhakiki wa mvua nao umechukua muda mrefu mnoo
 
01: watumishi wa umma wote ,sababu mpaka sasa hawajapandishwa madaraja ,vyeo na mishahara wananyanyasika kazini bila hatia wanateseka uhakiki wa kila siku ambayo unawapa gharama kila kukicha.

02: wanafunzi wote wa vyuo vikuuu ,maana wamekoswa mikopo hivyo wengi wao kubaki nyumbani bila kazi yeyote ile hivyo hawatamani tena kuichagua ccm.

03: vijana 3000 walioajiriwa mwezi June 2016 na kusimamishwa kazi huku wamepewa mikataba ya kazi na kuanza kufanya kazi mfano walioajiriwa mahakamani ,mikoani nk mpaka sasa imepita miezi sita hawajui hatima yao kabisa hivyo ni jambo gumu kuwapigia ccm kura.

04: wahanga wa watetemeko la ardhi kagera .

05 : wamachinga wote wa kwenye majiji makubwa mfano Mwanza nk .

06: wakulima wanalia njaa lakini serikali haitoi hata misaada ya chakula .

07: wahitimu wa vyuo mbalimbali kwa sababu wamekoswa ajira kutokana na serikali kutoajiri na kusimamisha ajira mpaka sasa hakuna idara yeyote iliyeyote iliyotangaza ajira serikalini toka zisimamishwa zaidi ya kutoa matamko.

08: wahitimu wa ualimu kwa masomo ya Sanaa na walimu waliohitimu kwa ajili ya shule za msingi kubaguliwa kwenye ajira kutoajiriwa serikalini .

09: wananchi waliobomolewa nyumba zao na tanroad bila taarifa yeyote.

10: waandishi wa habari wote kutokana na kunyimwa Uhuru wa kuandika habari kwa ukombozi wa taifa letu.

11: wafanyabishara wote kutoka na kodi kupanda kiholela na mzunguko wa hela kuwa mgumu mtaani .

12: watumishi wa umma waliotumbuliwa wote hawatakuwa tayari kuwapigia ccm kura tena .

Ukweli uchaguzi wa 2020 ni mgumu zaidi ya ule wa mwaka juzi utakuwa mgumu kuliko chaguzi zote toka tupate Uhuru.

Mimi ni mtumishi wa umma,sintawapigia wahuni kura wanaoweza kuyageuka maneno yao bila maelezo yoyote yenye tija kisa sijaongezewa mshahara,mikopo imesimamishwa au posho zimeondolewa.

Ninaipenda Tanzania kuliko pipi za kitoto hizo,nauchukia uhuni wa kunya chai,kula chakula cha mchana na kutumia zaidi ya 50% ya muda wa ofisi kwa mambo hayo ili nidai nyongeza ya mshahara na kuitarajia Tanzania isonge mbele.

Kwa mwenendo wa JPM CCM ijihakikishie kura yangu kwenye nafasi ya Urais,ila ijiulize kwenye nafasi ya ubunge na udiwani mgombea wao anastahili? Nimezaliwa Wilaya ambayo mbunge wetu ni mfanya biashara ya pembejeo za kilimo nikashangaa yu miongoni mwa wasiotumia mashine za kukusanyia kodi, bali huandika stakabadhi kwa mkono na biashara yake ipo hadharani.Huyu kura yangu hana na nitahamasisha wenzangu kumkataa.
 
Kama mimi, ulitaka nimsemee nani??

Tofauti ya wajima wa CCM na mwenendo wa kileo wa CHADEMA hupimwa kwa aina ya lugha wanazotumia,kwa mwenendu huu mtaendelea kushangaa matokeo ya vijijini kwa wasioathirika na bangi wala wavaa miregezo wa kimarekani tunaodhani kuwaiga ni usasa.

Hoja hujibiwa kwa hoja ukiona jibu lako ni mlipuko wa matusi maana yake huna jibu,ni bora kunyamaza.
 
Bibi yangu anasema yeye aliichagua ccm sio jpm ila nikagundua kitu kuwa hayo ni madhara ya kuisoma NAMBA

Ungemuuliza kwa nini CCM na si washindani wa CCM ungejua tofauti ya kukariri na kuelimika.Bibi ameelimika kuliko wajukuu zake walio kariri na wanadhani wamesoma.Bibi anaweza kutoa sababu wajukuu wataporomosha matusi.
 
Tatizo la kuangalia upande mmoja, je watakapipigia kura ni kina nani ma kina nani poa hawataipigia kura ukawa??
Tatizo lenu ni kwamba mnafikiria hali ni "mbaya" sisiemu tu, ukawa iko salama??
 
Mkuu ngoja kwanza nicheke.....hahahahahaha...
Mkuu huwajui Watanzania wewe!!! Hakuna watu rahisi kuwa manipulated duniani kama Watanzania. Hivyo watadanganywa na vijineno vidogovidogo then CCM itaendelea kutawala milele. CCM mtaji wao ni Ujinga wa watanzania
 
Back
Top Bottom