Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,206
- 42,067
Wasalaam wana jamvi.
Moja ya kasoro zilizo zijitokeza kwenye ujazaji wa fomu za kugombea uwenyekiti wa serikali za mtaa ni swala la shughuli anayo fanya mtu anayetaka kiti cha uenyekiti wa serikali za mtaa!
Moja ya masharti na kanuni za kutaka kugombea kiti cha uenyekiti wa serikali za mtaa ni kuwa mgombea lazima awe na shughuli halali inayo muingizia kipato!
Katika hili wengi ya wagombea wa CHADEMA wamelichukulia kimzaha sana yani mtu kwenye fomu aanaulizwa unafanya shuguli gani yeye ana jaza “Upambanaji”
Hata wanapo jaribu kuulizwa baada ya kulalamika kukatwa....
Unafanya shughuli gani? “Napambana”
Swali
Msimamizi - Unafanya shughuli gani?
Majibu
Mgombea -Napambana!
Hivi kupambana ni ajira mpya?
Wasalaam
Moja ya kasoro zilizo zijitokeza kwenye ujazaji wa fomu za kugombea uwenyekiti wa serikali za mtaa ni swala la shughuli anayo fanya mtu anayetaka kiti cha uenyekiti wa serikali za mtaa!
Moja ya masharti na kanuni za kutaka kugombea kiti cha uenyekiti wa serikali za mtaa ni kuwa mgombea lazima awe na shughuli halali inayo muingizia kipato!
Katika hili wengi ya wagombea wa CHADEMA wamelichukulia kimzaha sana yani mtu kwenye fomu aanaulizwa unafanya shuguli gani yeye ana jaza “Upambanaji”
Hata wanapo jaribu kuulizwa baada ya kulalamika kukatwa....
Unafanya shughuli gani? “Napambana”
Swali
Msimamizi - Unafanya shughuli gani?
Majibu
Mgombea -Napambana!
Hivi kupambana ni ajira mpya?
Wasalaam