Olmost
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 337
- 439
Jpmkichwa cha nani?
Jpmkichwa cha nani?
kichwa cha nani?
Mshamba bibi yakojpm ni mshamba
Kama mtu aandaavyo koo lake anapotaka kujibu hoja ndio inapasa uandae ubongo kunijibu.yapo mengi tu tumeweza kutoa elimu ya juu kwa watoto wengi zaidi zamani tulikuwa na chuo kikuu kimoja tu lakini sasa tuna zaidi ya 26 hiyo ni hatua kubwa sana tu.
Chagua maneno yakutumia kuwasilisha ujumbe wako kwenye mitandao kwa usahihi...hauko mbali sana kivile eti!Ushamba ni aina ya sifa ya mtu, wala siyo tusi au dhihaka kama ambavyo umelichukulia
haisaidii lamsingi ni kuweka mikakati ya kupata vijana bora zaidi na kuwapa mafunzo bora zaidi ili waweze kushinda...rasilimali fedha na wataalam ni muhimu sanaTFF kateni rufaa wale Mali sio under 20 trust me..Habib Kiyombo kapigwa pini Taifa hata hakuweza kufurukuta
Miaka iliyopita timu za West Africa zilikuwa zinachukuwa sana under 20 na under 17 world cup..toka waanze kuwapima umesikia wanachukua kila mara...watoto wa miaka chini 20 hawawezi kuwa na sura zile....haisaidii lamsingi ni kuweka mikakati ya kupata vijana bora zaidi na kuwapa mafunzo bora zaidi ili waweze kushinda...rasilimali fedha na wataalam ni muhimu sana
wewe ukikaza na miaka tu wakati hauna mkakati wowote wa kufanya timu zako zishinde haisaidii hata chembeMiaka iliyopita timu za West Africa zilikuwa zinachukuwa sana under 20 na under 17 world cup..toka waanze kuwapima umesikia wanachukua kila mara...watoto wa miaka chini 20 hawawezi kuwa na sura zile....
amefanyaje kuuboresha?