Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,224
- 26,040
Upinzani unachohitaji mwaka huu niUpinzani mkishindwa kukiondoa hiki chama cha walevi na wendawazimu madarakani, nitawaona wa hovyo kabisa!
1. Kuhamasisha nguvu ya umma katika kulinda kura
2. Kuhamasisha nguvu ya umma katika kusimamia kuhesabu kura na kutangaza matokeo yote ya kura.
CCM kwa waliyoyafanya miaka hii mitano nina uhakika wananchi wakikomaa hata vyombo vya dola vitawanawa.