He Is Him
JF-Expert Member
- May 19, 2020
- 238
- 353
Ngoja tumsubirie huyo mwenye kufuli moyoniSio wa kuumwaga huu, natakiwa nimwambie mtu ambae moyo wake una kufuli....
Ngoja tumsubirie huyo mwenye kufuli moyoniSio wa kuumwaga huu, natakiwa nimwambie mtu ambae moyo wake una kufuli....
Babe i thnk naishi kwenye dunia yangu ..mimi sina hata hofu na mtu eti...relax! Napenda zaidi maadui kuliko marafiki wanafiki🥰!Pancho mkuu unakosea sana, muombe msamaha Wangari Maathai this is not fair at all/ it’s not acceptable
Kwani mkuu mbona wametajwa wengi Why aombwe msamaha yeye tu?Pancho mkuu unakosea sana, muombe msamaha Wangari Maathai this is not fair at all/ it’s not acceptable
Inasemekana eti hata habari za tanzia unacheka 😀😀Mnanimaindi sio?😅😅😅 mie kufurahi ndio jadi yangu
Ana bandama kubwa nasikia....Inasemekana eti hata habari za tanzia unacheka 😀😀
Ha haha nashangaa hujawekwa kwenye list wakati wewe ndo mvurugaji namba moja. Shoga usingizi umekata na nipo alone. Ngoja niendelee kuvuruga...lawama zote kwakoAna bandama kubwa nasikia....
Demi is it half time?😊
(Nimekuja kuvuruga mada)
😂😂😂 Mi huwa sivurugi, si unaona kwenye rada ya Pancho sipo.Ha haha nashangaa hujawekwa kwenye list wakati wewe ndo mvurugaji namba moja. Shoga usingizi umekata na nipo alone. Ngoja niendelee kuvuruga...lawama zote kwako
😀😀 Kwa kweli, na wewe mbona hujalala tatizo nini?😂😂😂 Mi huwa sivurugi, si unaona kwenye rada ya Pancho sipo.
Usingizi umekata tangu saa nne nipo macho, sioni hata dalili za kulala....😀😀 Kwa kweli, na wewe mbona hujalala tatizo nini?
Kuna limoja linajiita juu ya ndimu.
Yaani hili ni pulizo kabisa....