Haijalishi kwamba sijaoa, au sina experience ya ndoa; but am sure this is the best way to make your (for men) marriage stronger for ever and ever!!! This is even more important, kama unahisi mkeo ni aina ya wale wanawake wenye tabia ya usinibabaishe, hujaniokota barabarani! Tutake tusitake, mwanamke anavyo-advance kwa namna yoyote ile kitakachofuata hapo ni kumu-undermine mume wake!!Najuwa si wanawake wote wenye silika hii, but wengi wao wapo hivi, hususani wale ambao hawajaelimika (hata kama ni PhD holders)! Now, here is how to deal with such types of women but whore salaried workers:
1. Never encourage them to have money saving behoviour!!When women save, the saving is mostly for their own!! Akishapa mshiko wa kutosha, huyoo ataenda kujenga kwao. Na akijenga mji huo huo mnaoishi hapo ndo basi tena, usinibabaishe kibao zitaibuka!
2 . Akikukwambia mshahara wake anataka kununua silver chain, mui-encourage adunduize three more salaries ili anunue gold chain, and the next two salaries anunue golden rings!!!
3 . Akikuambia kwamba mshahara unaofuata anataka kununu pamba pale Zizzou Fasion, mwambie pamba za uhakika zinapatikana Woolworth! Tell her, hana haja ya kuhofu kuhusu family affairs, uta-settle tu!! Mruhusu afanye even three consecutive savings ili akapate pamba za kufa m2 pale Woolworth!!
4. Ukiona anapenda sana kuangalia tamthilia, na mnatumia ordinary antenas ambazo chengachenga ni kwa kawaida, basi jifanye unamuhurumia na wewe jifanye you dont mind about watching TV!! Mwa-advice anunue dish, tena lile la futi nane ili afaidi vizuri tamthilia!!! Hata siku akipata mashetani yake ya kwamba ataondoka huku akijivuna kwamba ana asset zake hapo home, am sure, akikumbuka kwamba asset yenyewe ni dish la futi nane, linalohitaji winji kuliinua, hapohapo stimu zitamkatika!!
5. Never encourage her kununua fenicha za ndani kwenu!! Wanawake wapuuzi, pale wanapopandwa na mashetani yao, hufikiria kukomba fenicha zilizopo ili akuadhiri!!! Akijuwa hakutoa hata senti moja kwenye fenicha hizo, basi shetani lake litashuka tu, ambalo vinginevyo lingepanda kiasi cha kuitaji muaguzi!!
6. Akikuambia anatamani kununua gari, encourage her achukue loan na anunue gari with cc above 2500!!
7. Kama unajihis kwamba wewe ni mtu wa busara sana, basi mui-encourage a-take responsibility ya masuala ya nyumbani!! Tell her, mshahara wake ndio utumike kwa chakula hapo home and other daily domestic expenditures!!
8. When you find her frustrated, muulize kama ana kiasi kidogo benki, and if the answer is YES, encourage her to go for vacation, na mwambie utamlipia air ticket to ZNZ! Hata kama pesa zingine atazibania kwenye a/c wakati wa kurudi ndo lazima azi-draw ili afanye shopping on her way back!
9. Kwa kifupi, unatakiwa kumpiga changa la macho kuhusu matumizi ya pesa zake!!
10. At the end of story, atajikuta ana asset za kumwaga ambazo zote ni za kipuuzi mtupu!! Hapo heshima itadumu milele dumu!!
11. Wakati haya yanafanyika, have good financial management kwenye fedha zako!! Make rational use of your money!!Invest them, in possible and sustainable money making investiment
12. Mind, hii si kwa ajili ya kumkomoa mkeo, but for the sake of ur marriage! It sound very ridiculous, but try to ignore it and ull see!
13. Here then, is for married women! Ukiona mumeo anafanya hayo hapo juu, ni kwamba anataka usiwe na meno kwavile meno yenu mara nyingi mnayatumia vibaya!!