mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,454
1.TANGAZO LA NYATI CEMENT
Hili ndio tangazo bora kwangu na lenye ubunifu wa hali ya juu kuwahi kutokea kwa makampuni yetu ya hapa Tanzania
Katika tangazo hili wametumia ubunifu mkubwa kuitangaza nyati cement
Hakika hili tangazo limewavutia wengi kununua cement yao.
2.TANGAZO LA BIA YA SERENGETI
Hili tangazo nalo halina mda mrefu kwenye vyombo vya habari lakini linavutia sana kuangalia
Hasaa pale chui anaposema "nipe bia ninywee"
Pia nimeona thread nyingi zikiponda shirika la ndege Atcl kuwa matangazo yao hayana ubunifu
ATCL mna cha kujifunza kwa mashirika ya wenzenu namna ya matangazo yanayovutia wateja!
Hili ndio tangazo bora kwangu na lenye ubunifu wa hali ya juu kuwahi kutokea kwa makampuni yetu ya hapa Tanzania
Katika tangazo hili wametumia ubunifu mkubwa kuitangaza nyati cement
Hakika hili tangazo limewavutia wengi kununua cement yao.
2.TANGAZO LA BIA YA SERENGETI
Hili tangazo nalo halina mda mrefu kwenye vyombo vya habari lakini linavutia sana kuangalia
Hasaa pale chui anaposema "nipe bia ninywee"
Pia nimeona thread nyingi zikiponda shirika la ndege Atcl kuwa matangazo yao hayana ubunifu
ATCL mna cha kujifunza kwa mashirika ya wenzenu namna ya matangazo yanayovutia wateja!