Tabutupu JF-Expert Member Nov 26, 2010 13,108 18,325 Mar 29, 2021 #1 1. Mataga vs CCM (asili). 2. Serikali vs vyama vya siasa. 3. Serikali & Mataga vs wananchi.
M Mshughulishaji JF-Expert Member Sep 29, 2015 1,349 1,873 Mar 29, 2021 #2 Bashiru ana nini? naona kama hana raha hivi pamoja na nduguye microphone ()
Mwanzi1 JF-Expert Member Sep 19, 2016 6,000 4,586 Mar 29, 2021 #3 Tanzania ni nchi huru na salama, atakayefuata sheria atacheka mpaka ashindwe kucheka. Asiyefuata sheria imekula kwake, wala hakuna kulaumiana.
Tanzania ni nchi huru na salama, atakayefuata sheria atacheka mpaka ashindwe kucheka. Asiyefuata sheria imekula kwake, wala hakuna kulaumiana.
M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Nov 16, 2014 11,638 8,570 Mar 29, 2021 #4 Mshughulishaji said: Bashiru ana nini? naona kama hana raha hivi pamoja na nduguye microphone () Click to expand... Nakuhakikishia, Dk. Bashiru bado yupo sana!
Mshughulishaji said: Bashiru ana nini? naona kama hana raha hivi pamoja na nduguye microphone () Click to expand... Nakuhakikishia, Dk. Bashiru bado yupo sana!
Nuraty J JF-Expert Member Sep 18, 2018 1,729 3,829 Mar 29, 2021 #5 sweettablet said: Nakuhakikishia, Dk. Bashiru bado yupo sana! Click to expand... Bashiru anaondoka iyo nafasi mapema sana
sweettablet said: Nakuhakikishia, Dk. Bashiru bado yupo sana! Click to expand... Bashiru anaondoka iyo nafasi mapema sana