Haya ndio mapenzi ya kweli

Mtama

Member
Nov 8, 2010
63
0
Kiuhalisia kumpenda mtu kiukweli ni kumpenda bila masharti,hii maana yake ni kwamba umkubali kama alivyo,cha msingi ni kuangalia zile tabia ambazo haziwezi kuhatarisha maisha yako kama vile umalaya,kama hakuwa na tabia hiyo akaja kuwa nayo wakati tayari mko pamoja usimwache haraka,mwoneshe kumjali nae atabadilika.
 
kama hakuwa na tabia hiyo akaja kuwa nayo wakati tayari mko pamoja usimwache haraka,mwoneshe kumjali nae atabadilika.

Ati umesema nisimwache???
:nono:

:nono::nono:

:nono::nono::nono:

:nono::nono::nono::nono:

:nono::nono::nono::nono::nono:

:nono::nono::nono::nono::nono::nono:

:nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:

:nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:

:nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:
 
Kiuhalisia kumpenda mtu kiukweli ni kumpenda bila masharti,hii maana yake ni kwamba umkubali kama alivyo,cha msingi ni kuangalia zile tabia ambazo haziwezi kuhatarisha maisha yako kama vile umalaya,kama hakuwa na tabia hiyo akaja kuwa nayo wakati tayari mko pamoja usimwache haraka,mwoneshe kumjali nae atabadilika.
Dawa ya tabia kukaa mbali nayo tu...!
 
Kiuhalisia kumpenda mtu kiukweli ni kumpenda bila masharti,hii maana yake ni kwamba umkubali kama alivyo,cha msingi ni kuangalia zile tabia ambazo haziwezi kuhatarisha maisha yako kama vile umalaya,kama hakuwa na tabia hiyo akaja kuwa nayo wakati tayari mko pamoja usimwache haraka,mwoneshe kumjali nae atabadilika.

je kama anakibamia inakuwaje
 
Kiuhalisia kumpenda mtu kiukweli ni kumpenda bila masharti,hii maana yake ni kwamba umkubali kama alivyo,cha msingi ni kuangalia zile tabia ambazo haziwezi kuhatarisha maisha yako kama vile umalaya,kama hakuwa na tabia hiyo akaja kuwa nayo wakati tayari mko pamoja usimwache haraka,mwoneshe kumjali nae atabadilika.
Perfect!
 
Kiuhalisia kumpenda mtu kiukweli ni kumpenda bila masharti,hii maana yake ni kwamba umkubali kama alivyo,cha msingi ni kuangalia zile tabia ambazo haziwezi kuhatarisha maisha yako kama vile umalaya,kama hakuwa na tabia hiyo akaja kuwa nayo wakati tayari mko pamoja usimwache haraka,mwoneshe kumjali nae atabadilika.

hahahahaha, if you are blessed with that heart friend hongera
 
Back
Top Bottom