Waweke na kodi ya kuishi mjini iwe sh 50,000 kwa kila familia.Trioni 2 aliagizwa mwigulu per month.
Zisipotosha kodi ya
Mbwa,
Kuku,
Panya,
Baiskeli.
2024 tutafuta kodi,kwasasa tujifunge viuno
Mfuate huyo Lissu Ubelgiji.Ila hii nchi sometimes naomba watu wanyooshwe tu ili wawe na akili otherwise bila mbongo kumnyoosha hawezi kuwa na akili
Ni mwanza hiyo ushuru umepaa, Mara dufu wengine walime kwenye mazingira magumu wengine waje tu kuchukua pesa zao kwenda kuudumiana na kununua VieteView attachment 1847048View attachment 1847054
View attachment 1847047
Hata wa rais mkuu na posho zipungueDuuuh huyu mkulima atapumulia wapi nadhan ni muda muafaka mshahara wa wabunge uanze kukatwa kodi
Kazi ya Ramadhan DauFAO LA KUJITOA NSSF
Pesa za wafanyakazi serikali ilikopa
Mataga pori watakuambia Mama anaupiga mwingi 😁Inakuwaje kushusha kg 100 za maharage iwe bei sawa na kushusha kg 10 za karanga au ni typing error
Ila hii nchi sometimes naomba watu wanyooshwe tu ili wawe na akili otherwise bila mbongo kumnyoosha hawezi kuwa na akili
Ni mwanza hiyo ushuru umepaa, Mara dufu wengine walime kwenye mazingira magumu wengine waje tu kuchukua pesa zao kwenda kuudumiana na kununua VieteView attachment 1847048View attachment 1847054
View attachment 1847047
hahaha Wacha wayaone wenyeweIla hii nchi sometimes naomba watu wanyooshwe tu ili wawe na akili otherwise bila mbongo kumnyoosha hawezi kuwa na akili
Ni mwanza hiyo ushuru umepaa, Mara dufu wengine walime kwenye mazingira magumu wengine waje tu kuchukua pesa zao kwenda kuudumiana na kununua VieteView attachment 1847048View attachment 1847054
View attachment 1847047
hahahaWatu hawajui tofauti ya Roli na Lori ?
twende hivi hivi. Wakulima nao walipe kodiDuuuh huyu mkulima atapumulia wapi nadhan ni muda muafaka mshahara wa wabunge uanze kukatwa kodi
Halafu unaweza kuta wamekosea na hawajaona ahahahahah hii nchi ngumu sana aisee!Inakuwaje kushusha kg 100 za maharage iwe bei sawa na kushusha kg 10 za karanga au ni typing error
Aisee hivi hii ya Vitambulisho kama imepoteza mwelekeoe!!!Magufuli naye ni yaleyale tu takataka kule
Elfu 20 za machinga kama sio wizi ni nini?
Yeah,maana kodi walikuwa wanalipa wafanyakazi tu afu wao wakiuza na kupata hela mfanyakazi akabaki maskini wanaanza kumcheka!twende hivi hivi. Wakulima nao walipe kodi
Kanda ya titi bwana huko..wao na Kiswahili wapi na wapi!Watu hawajui tofauti ya Roli na Lori ?
Watu hawajui tofauti ya Roli na Lori ?