Haya ndio majina ya wakuu wa wilaya wa Kikwete waliotemwa na Magufuli

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,961
Wakuu wa wilaya waliotemwa....
WALIOACHWA
Wakuu wa Wilaya walioachwa na vituo vyao kwenye mabano ni

1. Halima Kihemba (Kibaha)
2. Betty Mkwasa (Mvomero)
3. Muhingo Rweyemamu (Morogoro)
4. Matthew Sedoyeka (Sumbawanga)
5. Jacqueline Liana (Nzega)
6. Benson Mpesya (Songea)
7. Suleiman Kumchaya (Tabora)
8. Amani Mwenegoha (Bukombe).
9. Fatma Ally (Mtwara)
10. Jackson Msome (Bukoba)

11. Ramadhani Maneno (Chemba)
12. Hafsa Mtasiwa (Korogwe)
13. Pilly Moshi (Magu)
14. Paul Mzindakaya (Busega)
15. Shabani Kissu (Kondoa)
16. Baraka Konisaga (Nyamagana)
17. Francis Mwonga (Bahi)
18. Gerald Guninita (Kasulu)
19. Omar Kwaangw’ (Karatu)
20. Novatus Makunga (Moshi)

21. Farida Mgomi (Chamwino)
22 Ponsiano Nyami (Bariadi)
23. Lephy Gembe (Kilombero)
24. Dk. Jacqueline Tiisekwa (Dodoma)
25. Bituni Msangi (Kongwa)
26. Margaret Malenga (Nyasa)
27. Sheni Ngaga (Mbinga)
28. Chande Nalicho (Namtumbo)
29. Agnes Hokororo (Tunduru)
30. Hawa Ng’humbi (Kishapu)

31. Wilson Nkhambaku (Arumeru)
32. Ernest Kahindi (Longido)
33. Francis Mitti (Monduli)
34. Zainab Mlesi (Rungwe)
35. Nyirembe Munasa (Mbeya)
36. Ahmed Namhone (Mbozi)
37. Ziporah Pangani (Igunga)
38. Estherina Kilasi (Muheza)
39. Jowika Kasunga (Mufindi)
40. Khanifa Karamagi (Gairo)

41. Subira Mgalu (Kisarawe)
42. Nurdin Babu (Rufiji)
43. Crispin Meela (Babati)
44. Abdallah Kihato (Mkuranga)
45. Joshua Mirumbe (Bunda)
46. Ali Mohamed (Serengeti)
47. Lembris Kipuyo (Rombo)
48. Manju Msambya (Ilemela)
49. Saidi Amanzi (Singida)
50. Lucy Mayenga (Iramba)

51. Kanali Samuel Nzoka (Kiteto)
52. Mahmood Kambona (Simanjiro)
53. Dk. Michael Kadeghe (Mbulu)
54. Yahya Nawanda (Lindi)
55. Charles Gichuri (Ikungi)
56. Christopher Magela (Newala)
57. Bernard Ndutta (Masasi)
58. Zuhura Mustapha Ally (Uyui)
59. Khanifa Sirengu (Sikonge)
60. Daudi Yassin (Makete)

61. John Henjewele (Kilosa)
62. Mariam Juma (Lushoto)
63. Husna Msangi (Handeni)
64. Peter Toima (Kakonko)
65. Saveli Maketa (Kigoma)
66. Rosemary Kirigini (Maswa)
67. Georgina Bundala (Itilima)
68. Erasto Sima (Meatu)
69. Amina Lugaila (Mbogwe)
70. Ibrahim Marwa (Nyang’wale)

71. Abdulla Lutavi (Tanga)
72. Ephraim Mmbaga (Liwale)
73. Mariam Mtima (Ruangwa)
74. Mariam Mohammed (Lushoto)
75. Selemani Liwowa (Kilindi)
76 Mboni Mgaza (Kilindi)

wakuu samahani kwa list niliyoileta mwanzo, aliyenitumia alikosea
 
Vogezo vya uteuzi vimewatupa nje ya mchakato
Kwa sasa ili uwe mkuu wa wilaya walau uwe na degree moja na kama mwanajeshi uwe luteni kanali
Je kwenye hiyo listi kuna mwenye degree hapo
Watarudi chamani kuwa makatibu wa wilaya na mikoa,magufuli anakwenda kung'oa vizee kule
 
DC.jpg
zamu yenu imepita tukutane ktk majukumu mengime wakuu wa wiliaya mlio temwa.


ILA MAPOZI YENU DUUU NI AMEIZING'
 
Back
Top Bottom