DAS ni kazi ya kitaalam,lzm uwe at least na DEGREE toka ktk chuo kinachojulikana!
Tukisema hizi teuzi zimeegemea upande mmoja wa dini utaambiwa vigezo vimezingatiwa, ila kwa mwenye ufahamu na random sampling hatakubaliana kabisa...........
Yaani kila teuzi zinaangukia upande mmoja tu,
Give me a break, shwainYaani we akili yako dini na si uhalali.
Kitu feki hata mhuri na mteuzi hamna mnakuja na maneno ovyo kabisa kuyasikia.
Huyu magufuli sijui ana bana matumizi gani hz nafasi hazina umuhimu kabisa
Acha njaa. Tumia bongo yako.Wameteuliwa bila kuonekana kwa vyeti vyao. Masikini nchi yangu.
Acha njaa. Tumia bongo yako.Kazi kwanza vyeti Na Cv baadae, That's Tanzanian......,I love you baby.