Haya ndio majibu ya Mh. Zitto ya kukosekana kwenye m4c

when I do they close
their eyes. When I don't they
open their mouths

over

nimeipenda sana hii.ni sentence fupi yenye maana nzito,watu wanazani kuwa dereva anaweza kuendesha na kuchukua nauli wakati konda anapiga debe,nini kinafata?ndio maana anakuambia wakati anafanya kazi watu tunafumba macho hatuoni,asiponya tunaanza uroporopo,CDM ni chama makin na ndio maana viongozi wamegawana majukumu
 
Zito Kabwe is young and controversial politician who is calculating 2015 beyond his political party. Should there be a chakachuadi government aka serikali ya mseto, where shall I Zito Kabwe be? A prime minister or what etc. so he is busy balancing his cards carefully.
 
usilazimishe mtu afikiri unavyofikiri wewe, aamini unavyoamini wewe, wengine wanaona mbali zaidi uonavyo zitto ni mtu makini sana

Sikatai kwamba inawezekana Zitto anaona mbali ila ninachojua kwa uhakika ni kwamba "Kifo" kwa mtu yeyote ni mwisho wa umbali anaoona huyo mtu bila kujali umbali wenyewe. Kwahiyo Kifo chochote ni jambo la tofauti sana na halipaswi kwa vyovyote kuchukuliwa kama mzaha, kukaa kimya kwa kifo kisicho cha kawaida kwa mwenzako ni aidha kukubaliana nacho ama kuwa mwoga wa kukemea upotofu. Mungu amjalie Zitto awe haungi mkono mauaji yenye muelekeo wa kunyima uhuru wa kuleta mabadiliko kwasababu atakuwa anayapinga mabadiliko kwa mlango wa nyuma na hilo halikubaliki.
 
Mwaka 2005 CCM.....39.6% Mwaka 2010....38.15% na hapa CCM imeshuka, unalielezaje hili?
Katika uchambuzi wako umemwangali Zitto tu bila kujali CCM ilivyoshuka na bila ya kujali wapinzani wengine mwaka 2005 kwa pamoja walipata 9.3% na mwaka 2010 walipata 13.28.

Unaamini kutokana na vuguvugu la upinzani wote kwa jumla kwa sasa, CCM itapata (kihalali) matokeo kama ya 2010? Kwa mtazamo wangu, sio utabiri, ni kuwa kadiri tunavyokwenda mpaka sasa, CCM inazidi kuporomoka CCM na upinzani unazidi kupanda (angalia matokeo ya wapinzani wote ndani ya mkoa huo huo dhidi ya CCM).

Hata hivyo, siasa ni mikakati kwa vitendo, sio ahadi tu, kwa hivyo yeyote atakayewatendea haki Watanzania atapata ridhaa yao, iwe CCM, wawe wapinzani.

Kuhusu Zitto, kwa kuwa watu wameamu kumsakama, wataendelea kufanya hivyo hata ndani ya duru za chama chake. Asiposhiriki anakiua chama, akishiriki anajipigia kampeni za urais. Kama alivyosema mwenyewe "ukitenda watu wanafumba macho, usipotenda wanapanua midomo". Hivi ndivyo mchezo wa kisiasa ulivyo, ni wale tu wasiotetereka ndio wanaohimili vishindo.
Mammamia, umeanza vizuri umeshindwa kuimalizia vizuri vivyo hivyo Zitto alianza vizuri na CHADEMA kashindwa kumaliza vema na CDN anaanza kutapatapa! huwezi tumikia mabwana wawili.
 
Sasa zitto akijihusisha na M4C kila Lema watakula wapi? M4C kazi yake kubwa ni kuwanyanyua makinda wa CDM, Zitto yuko level nyingine.
Yeye ni naibu katibu mkuu, mbona katibu wake anafanya, M4C syo ya low level its a high level campagn
 
Uongozi wa CDM wana hekima sana. Hawaingilii yaliyo moyoni mwa mtu---time will tell! Ila mimi si ka amini amini haka kabwana! Time will tell
 
usilazimishe mtu afikiri unavyofikiri wewe, aamini unavyoamini wewe, wengine wanaona mbali zaidi uonavyo zitto ni mtu makini sana
Nakubaliana nawe mkuu, ndio maana hata rangi ya mwandiko imekushinda, hongera kwa ubunifu wako makini na Zitto wako makini.
 
Mbona hakemei hata mauwaji yanayofanywa na policcm? Mou na TISS itamtesana... majibu ya kinafiki
"I am in Sri Lanka for a Commonwealth Parliamentary Association meeting. Also reading and writing - my favourites" ulipataje link ya kushiriki huko? a meeting? miezi miwili.... kituko ni reading and writing...Mnafiki

kila mtu wa chadema atoe kauli yake? kwenye hili zito tunamuonea bure, katibu zanzibar atoe kauli, makamu mwenyekiti atoe kauli, makamu bara atoe kauli hivi hii itakuwaje?
 
Mammamia, umeanza vizuri umeshindwa kuimalizia vizuri vivyo hivyo Zitto alianza vizuri na CHADEMA kashindwa kumaliza vema na CDN anaanza kutapatapa! huwezi tumikia mabwana wawili.
POMPO, huwa ninajaribu kutoegemea upande wowote wa siasa kwa kuogopa mawazo yangu kuharibiwa na itikadi za kisiasa. Hivyo, yangu uanyoyaona hapa hayamtetei au kumlinda yeyote, wa chama au itikadi yoyote bali mawzo yangu binafsi.

Kuna swali nilikwishaliuliza hapa, na ningependa sana viongozi wa CDM wajibu (sio wapiga debe), "ikiwa Zitto ni ndumilakuwili, anatumiwa na vyombo vya usalama, ni rafiki wa wanaCCM akiwemo Kikwete, anapenda sifa, hashiriki kwenye M4C, anajali sifa na maslahi binafsi... kwa nini bado wanaye ndani ya chama?" Hili linaweza kujibiwa na wakuu wa CDM na wala sio sisi tunaopigizana kelele tu hapa. Hata hivyo, ninathamini mawazo na maoni ya kila mtu.
 
Last edited by a moderator:
listen,matokeo 2012 yako vile kwa sababu alipambana pia na upinzani kutoka ndani ya uongozi wa juu wa chadema;ni ukweli usiopingika kuwa watu kama wewe chini ya uongozi wa mbowe hampendi kumwona zitto akiendelea kuwa juu kwenye siasa za tanzania,lakini mungu ni mwema hujibu maombi ya wale wote wasioacha kumwomba...jaribuni leo kumtimua zitto kama chadema itaendelea kuwepo,i dare you!


so cdm ni zito??? Daaah hii mpya
 
ana kila haki ya kufanya anachotaka na anakila haki ya kujenga pale anapoweza (wote hawawezi kufanya jambo moja) BUT Kuna maneno ambayo huwa anasema huyu jamaa inanifanya kuhoji busara zake na motives zake.., mfano kulikuwa hakuna sababu ya kusema haya maneno (it shows some kutokuelewana kwenye chama, hata kama kupo they need to be kept internally na sio kwenye public)

kuna tulioona kwanza na kukataa status quo na kuingia kuweka msingi wa mabadiliko.
some of us rebranded the party and ensured its growth to now. Anybody knows CDM pre 2005?
hapana. Sitaki kusema chochote. Ninachosema ni kuwa 1) those who risked 2) those free riders (in public finance)....


There was no need ya hizo comments hapo juu, pia hata kama mtu ulikuwa founder wa kitu lazima ukumbuke kuwa Yesterday's Glory is Today's History.., what matters is what is being done now (and what Zito is doing is okay apart from those silly comments)
 
listen,matokeo 2012 yako vile kwa sababu alipambana pia na upinzani kutoka ndani ya uongozi wa juu wa chadema;ni ukweli usiopingika kuwa watu kama wewe chini ya uongozi wa mbowe hampendi kumwona zitto akiendelea kuwa juu kwenye siasa za tanzania,lakini mungu ni mwema hujibu maombi ya wale wote wasioacha kumwomba...jaribuni leo kumtimua zitto kama chadema itaendelea kuwepo,i dare you!


kwahiyo cdm ni zito??? Daaah hii mpya
 
"when I do they close their eyes. When I don't they open their mouths" - Hapa Zitto kamaliza kila kitu. Hana haja ya kuongeza...

NB: Mind the definition of "they" in the sentence.
 
kila mtu wa chadema atoe kauli yake? kwenye hili zito tunamuonea bure, katibu zanzibar atoe kauli, makamu mwenyekiti atoe kauli, makamu bara atoe kauli hivi hii itakuwaje?
Zitto alishajipambanua na kutaka rais ajae awe kijana na kusisitiza vijana tunaweza, sasa inapotokea Vijana wanakufa na yeye kama alivyojipambanua kuongoza kundi la vijana kudai mabadiliko, iweze policcm wanauwa vijana yeye anakuwa kimia? pia kuna tuhuma kuwa ana MoU ( makubaliano) ya kutomkosoa JK hadharani, na Policcm kupitia TISS. ni Dumila kuwili anashindwa kukemea atawachafua anaojipendekeza.. Mnafiki.
 


Kuhusu Zitto, kwa kuwa watu wameamu kumsakama, wataendelea kufanya hivyo hata ndani ya duru za chama chake. Asiposhiriki anakiua chama, akishiriki anajipigia kampeni za urais. Kama alivyosema mwenyewe "ukitenda watu wanafumba macho, usipotenda wanapanua midomo".
I think here you got it backwards. I believe he was trying to imply that now that he has taken a back seat people want to critisize him but when he was active nobody appreciated him

And it's such a very stupid statement to have come from Zitto so called smart politician

It's more like he feels that "what can CHADEMA DO WITHOUT ZITTO"
 
Zitto Zuberi siku zote na kubali sana yale unayo nena brother najua watanzania wengi wanapenda sana kuongea bila kupima wasemayo ila sidhani kama kuna haja ya wewe kutoa kauli kwenye kila jambo wakati kauli ya chama inatosha. Pia naona hawajui majukumu yako kama waziri kivuli wa fedha kuwa upo busy kuangalia pesa za walala hoi zisiibiwe wao wanataka wakuone kwenye majukwaa hiyo ni kazi ya katibu mkuu now ambaye hana kazi yoyote kitaifa go zitto ur da best lekadetugike
 
Back
Top Bottom