Haya ndio majibu ya Mh. Zitto ya kukosekana kwenye m4c

Mawazo yako nayapinga kwa nguvu zote unless uni-convince otherwise, je na JK ambaye mwaka 2005 alishinda kwa %80 + je ni nani aliyechakachuwa kura za JK mwaka 2010 na kusababisha JK kupata 60% tena yenye mashaka makubwa mpaka leo hii!!??

Kuna factor nyingi tu zilizosababisha asilimia kushuka, moja ya factor ambayo ni muhimu kufahamu, Wananchi wanapiga kura kulingana na wagombea waliopo, ni sawasawa na kuwa darasa lenye wanafunzi ambao ni wajinga lakini katika hao, kuna ambaye ujinga wake ni afadhali ya wengine. Inawezakana kabisa, Kikwete mwaka 2005 alikuwa mwanafunzi mjinga lakini afadhali ya wajinga wengine, kwa maana kuwa, alipata kura nyingi kwa sababu wagombea wengine walikuwa hopeless zaidi na mwaka 2010 kura zilipungua kwa sababu wagombea wengine walikuwa siyo hopeless kama wa mwaka 2005.

Dr Slaa siyo Mbowe, lakini Kikwete ni Kikwete. did you get my point.

Unaweza usikubaliane na mawazo yangu
 
@MsemajiUkweli mada huwa inakuwa tamu kama utakuwa unajibu na maswali na siyo kuskip maswali na kujump kwenye kupost ushuzi tu, naomba ujibu post # 56.
Akili zako na za Zitto inaoneka hazina tofauti na za Malema wa South Afrika, muulizeni Malema yuko wapi sasa!!??
 
Mkuu wangu nakubaliana nawe, lakini kwa vyovyote vile huyu kilichomshusha ni unafiki wake kabla hajaenda kugombea alisumbua sana vichwa vya watu mara alitaka Geita mara kinodini, mara kawe kwa unafiki huo mpaka sasa hajielewi ni CCM ama CHEDEMA that why muda wote anashirikiana na TISS na Policcm kufanya mauwaji na kudhuufisha M4C

Labda niseme tu, siasa za Tanzania siyo kama tuzijuavyo watu wa kawaida kama mimi. Kumbuka kama ulifuatilia maelezo ya Dr Slaa wakati akimnanga Sitta alisema ana mengi ambayo asingependa kuyasema kwa muda huo na akamuonya Sitta kukaa kimya. Hiyo statement tu inatoa maswali mengi na ukiinchungulia kwa undani zaidi, ilionyesha Dr Slaa anajua mengi zaidi na aliyoyasema yalikuwa ni dokezo tu.
 
aHR0cCUzQSUyRiUyRjQuYnAuYmxvZ3Nwb3QuY29tJTJGLU9SWUMyVGRqWXkwJTJGVUE1bEdkcW1xd0klMkZBQUFBQUFBQURIUSUyRlBmbE9qNUVnOERJJTJGczY0MCUyRnppdHRvLmpwZw==


4+copy.jpg
 
@MsemajiUkweli mada huwa inakuwa tamu kama utakuwa unajibu na maswali na siyo kuskip maswali na kujump kwenye kupost ushuzi tu, naomba ujibu post # 56.
Akili zako na za Zitto inaoneka hazina tofauti na za Malema wa South Afrika, muulizeni Malema yuko wapi sasa!!??

Mkuu, nimeijibu hiyo mada. Mbona unaanza kunihukumu mapema
 
Labda niseme tu, siasa za Tanzania siyo kama tuzijuavyo watu wa kawaida kama mimi. Kumbuka kama ulifuatilia maelezo ya Dr Slaa wakati akimnanga Sitta alisema ana mengi ambayo asingependa kuyasema kwa muda huo na akamuonya Sitta kukaa kimya. Hiyo statement tu inatoa maswali mengi na ukiinchungulia kwa undani zaidi, ilionyesha Dr Slaa anajua mengi zaidi na aliyoyasema yalikuwa ni dokezo tu.
Yeah, Agree with you; ndio maana tunaomfaham Zitto tunasema ni Mnafiki na mzandiki wa kutupwa.
 
Kwani Kama alijenga ndio Ufike Muda wa Kubomoa? Hata Nyumba ya familia Uliyojenga Huruhusiwi Kuibomoa na Kuacha Familia Inapata Shida
 
POMPO

Propagandax3, Dua la kuku halimpati mwewe, Zitto endelea na maandalizi tuko nyuma yako, wazalendo wanaelewa kazi yako, achana na wapika majungu, tunajua wewe ni mti wenye matunda ndo maana unashambuliwa, Aluta Continuaaaaaaaaaaa.
 
Last edited by a moderator:
Zitto ni Double Agent hakuna mwenye uwezo wa kuubadili ukweli huu, na kwa wale wanaofahamu kazi za kijasusi huyu Zitto atakapoacomplish mission ni lazima awe eliminated, ni swala la muda tu.

Kwa wale wenye Mahaba na Zitto kabla kumvimbisha kichwa kwanza jiulizeni aliyekuwa Katibu Mkuu na Mbunge wa kwanza wa Chadema Dr Amaan Walid Kaborou yuko wapi? hivi kati ya Zitto na Kaborou ni nani alipaswa kuvimba kichwa kwamba yeye ni sehemu ya mchango mkubwa kwa Chadema?
 
Cdm ni mchakato. Hao vizabina waache maana hakuna wafanyacho zaidi ya kujikoroga tu. Chama hujengwa hata na neno pia, si lazima mwili uwepo
 
Mwaka 2005 ... 51.1% Mwaka 2010. 48.57% Mnafiki Zitto anapanda ama anashuka?
Mwaka 2005 CCM.....39.6% Mwaka 2010....38.15% na hapa CCM imeshuka, unalielezaje hili?
Katika uchambuzi wako umemwangali Zitto tu bila kujali CCM ilivyoshuka na bila ya kujali wapinzani wengine mwaka 2005 kwa pamoja walipata 9.3% na mwaka 2010 walipata 13.28.

Unaamini kutokana na vuguvugu la upinzani wote kwa jumla kwa sasa, CCM itapata (kihalali) matokeo kama ya 2010? Kwa mtazamo wangu, sio utabiri, ni kuwa kadiri tunavyokwenda mpaka sasa, CCM inazidi kuporomoka CCM na upinzani unazidi kupanda (angalia matokeo ya wapinzani wote ndani ya mkoa huo huo dhidi ya CCM).

Hata hivyo, siasa ni mikakati kwa vitendo, sio ahadi tu, kwa hivyo yeyote atakayewatendea haki Watanzania atapata ridhaa yao, iwe CCM, wawe wapinzani.

Kuhusu Zitto, kwa kuwa watu wameamu kumsakama, wataendelea kufanya hivyo hata ndani ya duru za chama chake. Asiposhiriki anakiua chama, akishiriki anajipigia kampeni za urais. Kama alivyosema mwenyewe "ukitenda watu wanafumba macho, usipotenda wanapanua midomo". Hivi ndivyo mchezo wa kisiasa ulivyo, ni wale tu wasiotetereka ndio wanaohimili vishindo.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
I think CHADEMA top leaders understands Zitto Kabwe far much better than most of Political Analysts based at JF. Looking at how CHADEMA CC react on various issues especially upon making suicidal decisions like terminating counselors from party memberships, battling with TBC and rejecting registrar of political parties Mr Tendwa, they exemplify themselves as objectives leaders who can make tantamount decisions despite of who they are deciding against,Zitto Kabwe included.
 
Sasa zitto akijihusisha na M4C kila Lema watakula wapi? M4C kazi yake kubwa ni kuwanyanyua makinda wa CDM, Zitto yuko level nyingine.
 
Cdm ni mchakato. Hao vizabina waache maana hakuna wafanyacho zaidi ya kujikoroga tu. Chama hujengwa hata na neno pia, si lazima mwili uwepo
 
"I am in Sri Lanka for a Commonwealth Parliamentary Association meeting."

sijui kama zito anajua kuwa Mwangosi RIP kapigwa bomu na kufariki dunia,

sijui kama zito anajua kuwa mwangosi hatapata tena nafasi aliyoipenda, ya kuripoti vuguvugu la mabadiliko.

sijui kama zito anajua kuwa tunajua mabadiliko tunayoyapigania hayajapatikana bado.

Sijui kama zito anajua kuwa tunajua kwamba hakuna wakati wa kupoteza wala kupumzika mpaka mabadiliko tunayoyataka yapatikane.

Sijui kama zito anajua kuwa tunajua kwamba ni kura zetu na wala si za commonwealthian, ndizo zitaleta mabadiliko tunayoyataka.

Sijui kama zito anajua kuwa tunajua kuwa akili yake imehongwa, uelewa wake umekengeuka na ubinadamu wake si wa roho tena bali wa kutumia akili.

Kweli ni sikitiko kuu.
A fallen hero!!!!!
Always used to be proud of himself being on the front line. GOOOOOONE!
Vijana wa Josephine utawajua tu.
 
Mbona hakemei hata mauwaji yanayofanywa na policcm? Mou na TISS itamtesana... majibu ya kinafiki
"I am in Sri Lanka for a Commonwealth Parliamentary Association meeting. Also reading and writing - my favourites" ulipataje link ya kushiriki huko? a meeting? miezi miwili.... kituko ni reading and writing...Mnafiki
usilazimishe mtu afikiri unavyofikiri wewe, aamini unavyoamini wewe, wengine wanaona mbali zaidi uonavyo zitto ni mtu makini sana
 
Sasa zitto akijihusisha na M4C kila Lema watakula wapi? M4C kazi yake kubwa ni kuwanyanyua makinda wa CDM, Zitto yuko level nyingine.

Levels zipo kwenu na nadhani kama ndio mawazo yenyewe basi Zitto kayapata kwenu, M4C inawahusu wote wenye kutaka kuona nchi hii inabadilika na kuwa nchi yenye kuwajali watu wake na hali zao kiujumla ukiwemo wewe na vizazi vyako unavyojitahidi kuvitengeneza kwa sasa.
 
Levels zipo kwenu na nadhani kama ndio mawazo yenyewe basi Zitto kayapata kwenu, M4C inawahusu wote wenye kutaka kuona nchi hii inabadilika na kuwa nchi yenye kuwajali watu wake na hali zao kiujumla ukiwemo wewe na vizazi vyako unavyojitahidi kuvitengeneza kwa sasa.
Wananchi wanasubiri kuona gharama za M4C, vipi bosi anampango wa kuzitoa?
 
Vijana wa Josephine utawajua tu.

hayo mafunzo ya kuwajua watu uliyapata kwenye makambi ya misigiri, mratibu mkutubi akiwa mwigulu nchemba au kambi yako ilikuwa mvomero kwa makala!!!!
 
Back
Top Bottom