Jagarld
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 2,515
- 3,042
Mwacheni apumzike,na si lazima zito awepo ndo cdm yenu iwepo.Jipangeni vzuri tu wala msiteteleke na chama kinajengwa na watu/wanachama na cyo mtu.Zito anaweza akaenda ata nccr au ccm akiamua lakini cha mhimu msikae kulalamika eti anawahujumu ikiwezekana fanyeni maamzi magumu najua hata jamii itawaunga mkono.