Dogo G
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,052
- 440
- Thread starter
- #101
Yule anayemlinda raisi anaitwa bodyguard au mpambe wa raisi. Wale wengine wanaokuwa nyuma yake wanaovaa kiraia wanaitwa USALAMA wa taifa ama Tanzania Intelligency Security Service(TISS).TISS ama usalama wa taifa ni idara wala sio jeshi inayojumuisha askari wenye mafunzo maalumu ya hali ya juu ya kiphysically na kipelelezi kuliko ya jeshi lolote lile. Hawa askari hupatikana toka JWTz POLISI au JKT japo jkt sio sana.