haya ndio maisha (picha)

mohamedn

Member
Feb 19, 2009
54
35
ATT00008.jpg ATT00010.jpg ATT00012.jpg ATT00013.jpg ATT00014.jpg
 
Hiyo ndo hali halisi pict ya 3 nimeipenda wale kwapua kwapua ndo dawa yao
 
Picha namba 3 mie hoi,kazi kwenu vibaka, na sijuii ikiita hilo purukushani la kufungua kufuli linakuwaje?
Mbona easy!tachana hicho kigozi kilicho support simu kwa Topaz,nasepa na simu kiulaini,namuachia kufuli lake.
 
Back
Top Bottom