tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 494
Rais wa Marekani Barack Obama akiwa katika ziara yake nchini Kenya, leo alifungua kongamano la ujasiriamali.
Ametangaza nchi 3 ambazo zitanufaika kabisa na mamilioni ya dola atakayotoa kuwasaidia wajasiriamali hasa wanawake na vijana.
Amezitaja nchi hizo ni Kenya,Mali na zambia.
Kwa mujibu wa wapekuzi wetu Tanzania ilikuwa moja ya nchi ambazo ingenufaika na pesa hizo, badala yake Mali ikachukua nafasi hiyo.
Ametangaza nchi 3 ambazo zitanufaika kabisa na mamilioni ya dola atakayotoa kuwasaidia wajasiriamali hasa wanawake na vijana.
Amezitaja nchi hizo ni Kenya,Mali na zambia.
Kwa mujibu wa wapekuzi wetu Tanzania ilikuwa moja ya nchi ambazo ingenufaika na pesa hizo, badala yake Mali ikachukua nafasi hiyo.